X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,665
- 12,235
Kwa yeyote aliefanikiwa kutuma maombia http://ajira.tamisemi.go.tz/ naomba utuwekee hapa mbinu ulizotumia.
Tuainishie browser uliyotumia...mtandao wa simu na muda au au tuwekee mbinu yoyote mbadala ya kufanya maombi kwa haraka.
Mimi kwangu inagoma kabisa.
Tokea asubuhi sijafanya chochote inagomea hapo, kama inavyojionyesha pichani.
kwa mliofanikiwa tupeane mbinu.
Tuainishie browser uliyotumia...mtandao wa simu na muda au au tuwekee mbinu yoyote mbadala ya kufanya maombi kwa haraka.
Mimi kwangu inagoma kabisa.
Tokea asubuhi sijafanya chochote inagomea hapo, kama inavyojionyesha pichani.
kwa mliofanikiwa tupeane mbinu.