Ambaka bibi yake wa miaka 77

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
643
Reaction score
846
Hii imetokea huko sauzi

AMBAKA BIBI YAKE
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 amekamatwa na polisi kwa kosa la kumbaka bibi yake mwenye umri wa miaka77 huko Mhlava Cross Tzaneen Limpop.

Polisi wanasema kwamba kijana huyo alikwenda kumtembelea bibi yake weekend na kumkuta amekaa kibarazani,alimnyanyua kwa kumpiga roba ya shingo kwa nyuma huku akimburuza mpaka ndani na kumbaka kisha akatoweka. polisi walifanikiwa kumpata baada ya msako mkali tangu juzi jumapili wiki iliyoisha.

My take: Vijana wa siku hizi hawana adabu na hii ni kutokana na malezi ya kidijitali wanayoyapata kwa wazazi wao. Tujitahidi kuwalea vijana wetu katika misingi ya kidini na upendo.
 
Nlienda kumtembelea au nlienda kumbaki..??au alimkuta nakaa vibaya kibalazani dhana ya kumtembelea ikabadilika!
 


Hii inachangiwa na mabibi kuita wajukuu wake "mume wangu". Mjukuu kaona anaitwa mume bila ya kupewa mambos, kaamua kujikchukulia
 
Duh....Jamaa amemnyanyua kwa roba aisee hii noma sana
 
Apimwe akili inawezekana ni psychiatric case hii. Bibi mtoto wa miaka 15 si angewaza kufanya mazoezi ya mpira zaidi tupate wakina Mbwana Samatta wengine jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…