Amatus Liyumba: Balaa!

Kumbe siku za nyuma ulikua una andika vizuri hivi we Pdidy haya makorokocho ya siku hizi umeyatoa wapi?
 
WEka picha yake mkuu
 
Hao WANAWAKE WOTE alikuwa anawatumia MUDA gani?
Hakuwa anawala kivile, niliwahi kuwa meneja hoteli fulani alikua akileta dame, anampack hapo, anapotea hata mwezi, akija, analipa bill, na kuondoka, hata akiingia chumbani kwa dame, dakika kumi unamyona katoka, anawatoa hela za bia mbili tatu, anaenda zake,
Dame anakaa tena hata wiki tatu, hajaja,,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…