Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Amani na utulivu tunaojivunia unasemekana ni tunda la HAKI na USAWA.
Kama haki na usawa ikiondolewa basi AMANI HUONDOKA.
TANZANIA ILIDUMISHA AMANI NA UTULIVU kwa kuwa
1. HAKI ILIDUMISHWA
2. USAWA Ulidumishwa
USAWA JUMLISHA HAKI JAWABU NI AMANI NA UTULIVU
Tusijidanganye : Kama hatutajali haki na usawa basi tujue tunachezea amani.
Kama uchaguzi ukifanyika kwa haki na kwa misingi ya usawa basi amani ITAKUWEPO
Kama haki na usawa ikiondolewa basi AMANI HUONDOKA.
TANZANIA ILIDUMISHA AMANI NA UTULIVU kwa kuwa
1. HAKI ILIDUMISHWA
2. USAWA Ulidumishwa
USAWA JUMLISHA HAKI JAWABU NI AMANI NA UTULIVU
Tusijidanganye : Kama hatutajali haki na usawa basi tujue tunachezea amani.
Kama uchaguzi ukifanyika kwa haki na kwa misingi ya usawa basi amani ITAKUWEPO