Karume fisadi na moja Tanzania, kuna mambo madogo madogo yanaanza kuja nje, mfano hoteli aliyoijenga kwenye makaburi ya wakristo mweni zanzibar, pia kavunja kijiji cha wabara huko mkoa kazkazini unguja, kilikuwa kinaitwa kibanda ugali, pia akajenga hotel na hekalu.
mnataka ushahidi? nendeni kanisa la anglikana Zanzibar