Ama kweli Saudi Arabia si chochote kwa Iran

Ama kweli Saudi Arabia si chochote kwa Iran

Kibumbula

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2018
Posts
3,690
Reaction score
3,382
Saudi Arabia imeiomba South Korea kuimarisha ulinzi wake wa anga.Hii inakuja mara baada ya uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kampuni lake kubwa la uchimbaji mafuta na gesi na drones ambazo zinasadikika hazikutoka Yemen,bali Iran.

Pamoja na mkwara mzito wa Saudi Arabia wa kuiambia dunia kuwa shambulizi hilo litajibiwa, mwisho wa siku Saudi Arabia inaonekana kutafuta msaada kwa washirika wake.

Wakati huohuo,Iran imeiambia Marekani kuwa kitendo chochote cha kuishambulia Iran kitajibiwa kuelekea kwenye vyanzo vya mashambulizi.

Yetu macho na masikio.

Saudi crown prince requests help from South Korea to strengthen air defenses: Yonhap

Saudi Arabia's crown prince Mohammed bin Salman has requested help from South Korea to strengthen the country's air defense system after attacks on two oil plants initially halved the country's oil production, South Korea's Yonhap news agency reported on Wednesday.

@ReutersWorldChannel


Iran tells U.S.: Response to any attack 'won't be limited to its source'

Iran's retaliation to any military attack will not be "limited to its source," Tehran said in an official note to Washington, Iran's semi-official ISNA news agency reported on Wednesday.

@ReutersWorldChannel

Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
 
Saudi Arabia imeiomba South Korea kuimarisha ulinzi wake wa anga.Hii inakuja mara baada ya uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kampuni lake kubwa la uchimbaji mafuta na gesi na drones ambazo zinasadikika hazikutoka Yemen,bali Iran.

Pamoja na mkwara mzito wa Saudi Arabia wa kuiambia dunia kuwa shambulizi hilo litajibiwa, mwisho wa siku Saudi Arabia inaonekana kutafuta msaada kwa washirika wake.

Wakati huohuo,Iran imeiambia Marekani kuwa kitendo chochote cha kuishambulia Iran kitajibiwa kuelekea kwenye vyanzo vya mashambulizi.

Yetu macho na masikio.

Saudi crown prince requests help from South Korea to strengthen air defenses: Yonhap

Saudi Arabia's crown prince Mohammed bin Salman has requested help from South Korea to strengthen the country's air defense system after attacks on two oil plants initially halved the country's oil production, South Korea's Yonhap news agency reported on Wednesday.

@ReutersWorldChannel


Iran tells U.S.: Response to any attack 'won't be limited to its source'

Iran's retaliation to any military attack will not be "limited to its source," Tehran said in an official note to Washington, Iran's semi-official ISNA news agency reported on Wednesday.

@ReutersWorldChannel

Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
Ndo kwanza anashtuka kua zile Airdefence za US ni matoy tuu na hakuna lolote? Hahahha
Too late maana kashatibuana na ndugu zake wa kiarabu sasa akubali matokeo yake
 
Hii bado ni sinema nzito kati ya saudia na USA ,kwangu Mimi sioni ubavu wa Irani kuhusika
Hata hao wa Houth wanaropoka tyu kwasababu huwezi tumia drone kwenye safari ya 1500Kms ni uongo hivyo wrote Saudia ,Irani na waHouth hawajui ni nani alifanya huko kitendo
USA wanajua ila wanawasingizia Irani
Saudia hajui ila anatafta wakumuangushia mzigo wa lawama
 
Sijasoma uzi wako. Lakini Iran huenda ikasababisha hali ngumu zaidi duniani. Kuishambulia Saudi (visima vya mafuta) nyuma ya mgongo wa Khuth kule Yemen. Marrkani nayo ...............
 
Mmmmmmh?
Sijasoma uzi wako. Lakini Iran huenda ikasababisha hali ngumu zaidi duniani. Kuishambulia Saudi (visima vya mafuta) nyuma ya mgongo wa Khuth kule Yemen. Marrkani nayo ...............
 
Yawezekana
Hii bado ni sinema nzito kati ya saudia na USA ,kwangu Mimi sioni ubavu wa Irani kuhusika
Hata hao wa Houth wanaropoka tyu kwasababu huwezi tumia drone kwenye safari ya 1500Kms ni uongo hivyo wrote Saudia ,Irani na waHouth hawajui ni nani alifanya huko kitendo
USA wanajua ila wanawasingizia Irani
Saudia hajui ila anatafta wakumuangushia mzigo wa lawama
 
Umeona eeeeh!!
Ndo kwanza anashtuka kua zile Airdefence za US ni matoy tuu na hakuna lolote? Hahahha
Too late maana kashatibuana na ndugu zake wa kiarabu sasa akubali matokeo yake
 
Hii bado ni sinema nzito kati ya saudia na USA ,kwangu Mimi sioni ubavu wa Irani kuhusika
Hata hao wa Houth wanaropoka tyu kwasababu huwezi tumia drone kwenye safari ya 1500Kms ni uongo hivyo wrote Saudia ,Irani na waHouth hawajui ni nani alifanya huko kitendo
USA wanajua ila wanawasingizia Irani
Saudia hajui ila anatafta wakumuangushia mzigo wa lawama

Kwa kuwa wayemen wako wengi sana saudia na ndio wafanyabiashara wakubwa na wamiliki wa biashara kubwa kubwa
Inawezekana kabisa hizo drones zimerushwa toka hapo hapo ila kwa aibu Saudi/ USA wanatunga ya kutunga
Vita ya hivi ni mbaya sana maana Yemen atahakikisha analipa kisasi kwa kila mbinu
 
Back
Top Bottom