Mkuu hoja sio wasanii,Mbona na nyie mnatumia Chopa Kama kivutio.
Ukweli ni kwamba Lowassa anapwaya kwa Magufuli Pamoja na mtandao hatari alionao.!
lowasa mpaka sasa ni tishio kubwa sana ccm..
Ingekuwa urais unapatikana kwenye mitandao basi Lowasa angekuwa rais,lakini bahati nzuri wapiga kura asilimia kubwa ni wale ambao hawajawahi kutumia mtandao
Mkuu hoja sio wasanii,Mbona na nyie mnatumia Chopa Kama kivutio.
Ukweli ni kwamba Lowassa anapwaya kwa Magufuli Pamoja na mtandao hatari alionao.!
Vipi akina Ney,Roma wale sio wasanii.?hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NAKINA WEMA?????MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.
LOWASSA ni habari nyingine.
Ingekuwa urais unapatikana kwenye mitandao basi Lowasa angekuwa rais,lakini bahati nzuri wapiga kura asilimia kubwa ni wale ambao hawajawahi kutumia mtandao
Kwenye mikutano yenu fanyeni haya halafu urudi tena hapa JF:
1. Msitumie malori kusafirisha watu
2. Msiwatangulize jukwaani akina daimond na ze komedi!
Vipi Mbowe,Mbatia,Makaidi,Sumaye,Masha,Sefu.? Wrote kwa Magufuli.View attachment 287708
LOWASSA ni Giant,Lowassa ni Rais kubali kataa
Pamoja na Kujiandaa Kuchukua nchi kwa zaidi ya miaka 25.
Pamoja na kuwanunua aslimia kubwa ya wahariri na waandishi wa kawaida wa vyombo vya habari
Pamoja na kuwanunua robo ya wajumbe wa kamati kuu hadi kufikia hatua ya kumzomea Mwenyekiti.
Pamoja na kuvinunua vyama vikubwa vinne vya upinzani na yeye akiwa ndio mgombea pekee.
Pamoja na kumiliki mtandao mpana zaidi na wa hatari nchini Mafioso & Mafisadi Unity (MMU)
Lakini bado anaonekana kupwaya kwa Magufuli,alieanza harakati za urais juzi ,tena hana mtandao ,hana vyombo vya habari vya kueleweka hata ule mtandao hatari Mafioso & Mafisadi Unity (MMU) unamwogopa na kumwangalia kwa jicho la tatu.!
Magufuli usikate tamaa ,watanzania wachache wenye uelewa na nchi yao wanatambua juhudi zako.!
Kwenye mikutano yenu fanyeni haya halafu urudi tena hapa JF:
1. Msitumie malori kusafirisha watu
2. Msiwatangulize jukwaani akina daimond na ze komedi!
Magufuli usikate Tamaa??? Kumbe ashakata tamaa!Pamoja na Kujiandaa Kuchukua nchi kwa zaidi ya miaka 25.
Pamoja na kuwanunua aslimia kubwa ya wahariri na waandishi wa kawaida wa vyombo vya habari
Pamoja na kuwanunua robo ya wajumbe wa kamati kuu hadi kufikia hatua ya kumzomea Mwenyekiti.
Pamoja na kuvinunua vyama vikubwa vinne vya upinzani na yeye akiwa ndio mgombea pekee.
Pamoja na kumiliki mtandao mpana zaidi na wa hatari nchini Mafioso & Mafisadi Unity (MMU)
Lakini bado anaonekana kupwaya kwa Magufuli,alieanza harakati za urais juzi ,tena hana mtandao ,hana vyombo vya habari vya kueleweka hata ule mtandao hatari Mafioso & Mafisadi Unity (MMU) unamwogopa na kumwangalia kwa jicho la tatu.!
Magufuli usikate tamaa ,watanzania wachache wenye uelewa na nchi yao wanatambua juhudi zako.!
CCM hainadi chama ila inamnadi Magufuli, maana ccm wameichafua na kuinajisi akina Lowassa .Miaka 50 ya kushika DOLA bado mnategemea MABANGO kukinadi chama? Mlipaswa kuna na vitu mlivyofanya vya kuwasemea.
Unasema Watanzania wachache wenye uelewa? Unahighlight kushindwa kwa CCM kuleta elimu kwa kuwa kutumia akili sio hulka.
Vipi akina Ney,Roma wale sio wasanii.?
Acha kujitoa ufahamu mkuu ,unataka kusema Roma hafahamiki . hata Roma mwenyewe atakushangaa.!Hivi kuna mtu anamjua Roma? Tumia akili kila wakati ndugu yangu, watu wanataka kumuona Diamond & CO...akimsindikiza msanii mwenzao Magufuli na wimbo wake Alimselema halija
CCM hainadi chama ila inamnadi Magufuli, maana ccm wameichafua na kuinajisi akina Lowassa .
Kampeni ni kujitangaza ,hivyo mabango ni utaratibu wa kawaida popote pale.
Hata nyie ilibidi mje na utaratibu mpya sio huu uliozoeleka wa ccm wa kubandika mabango barabarani.