Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,034
- 6,038
Ama kweli "loose Goat don't know how a tied Goat feeling"
Huo usemi niliupata kwenye mafundisho fulani (zamani kidogo) ya "Priority of singleness". Mafundisho hayo yalilenga kumfundisha individual namna yakujishape mwenyewe kabla hajataka kumingo na mtu mwingine (sikwenda kwa hilo exactly, ila huwa nnaseek maarifa nikajikuta na hapo). Kuna wakati fulani mfundishaji akasema ukiweza kubaki single ni nzuri pia(sana) maana "Marriage is only as good as your singleness" na hapo ndipo alipotoa kausemi hako.
Tuje kwangu sasa.
Yamenikuta leo yaliyofanya nielewe kwa mbaaaliii... maumivu fulani hivi wanayofeel baadhi ya tied goats (literal language). Kuna bint nilimkuta kwenye hiki kishirika ninachotafutia ugali, kufupisha stori ni kwamba tulifikia kwenye mipango mizur na huyu dada (nilipanga kumuoa so ni kama uchumba tuu japo cjaenda kwa wazazi ila hapa tunapofanya kazi tuliiweka bayana na likizo ijayo ndo ilikua mambo ya wazazi na kila kitu maana wote tunaishi mbali na wazazi).
Sasa juzi tukawa tunapga stori juu ya mabosi ambao wapo ziarani kukagua vituo vyote nchi nzima. Akaanza kuniambia kua mabosi hao wanatabia mbaya (wahuni, wakati mwingine wanatumia mamlaka kumpata mwajiriwa kingono). Akanieleza habari ya mdada mmoja aliyeacha kazi baada ya bosi kumlala kinguvu (sio nguvu za misuli, nguvu za mamlaka). Sasa kwenye stori akaeleza kuwa kuna bosi mmoja aliripoti kwa msimamizi wa kituo chetu kua bosi fulani(mwenzie) anatoka na mhasibu wa hapa(mhasibu ndo huyu dada). Yeye akasema ni uzushi tuu...
Sasa nikapata mashaka

then nikambana kwa maswali nyeti "akawa mkali", nikabadili mbinu "akanuna", nikawa serious akaanza kulia...!!
.. sasa mwisho wa siku ananiambia "ooohh haikua kwa hiari yanguu..." "naomba usinifikirie vbayaaa..."
Aisee nimeumia saanaaa
Sasa nimejiwazia kwamba, hapo sijamuoa, lakini pia hiyo ni historia sio kwamba ndo wapo wote saiv imeniumiza kiasi hiki
. Hivi ndo mara paapp..!!! nimemuweka ndani af nakuta naibiwa, itakuajee..



Najihisi kama sitaweza kulibeba na hata huyu dada nimemtilia mashaka sijui nipige chini (maana hapo nimefupisha tuu ila nimemuuliza mara nyingi sana mpaka cku yapili, lakini akawa anakataa). Me nimemuweka kwenye kutokua mwaminifu na muongo(kwa kutokuwa muwaz kwenye hilo, maana kuficha kuna mengi labda anampango wakuendeleza hako kamchezo).
Anyway, nipo mbioni kubadili mawazo kwa huyu dada (pia nadhani ntakua loose goat kwa muda mrefu sana)
Huo usemi niliupata kwenye mafundisho fulani (zamani kidogo) ya "Priority of singleness". Mafundisho hayo yalilenga kumfundisha individual namna yakujishape mwenyewe kabla hajataka kumingo na mtu mwingine (sikwenda kwa hilo exactly, ila huwa nnaseek maarifa nikajikuta na hapo). Kuna wakati fulani mfundishaji akasema ukiweza kubaki single ni nzuri pia(sana) maana "Marriage is only as good as your singleness" na hapo ndipo alipotoa kausemi hako.
Tuje kwangu sasa.
Yamenikuta leo yaliyofanya nielewe kwa mbaaaliii... maumivu fulani hivi wanayofeel baadhi ya tied goats (literal language). Kuna bint nilimkuta kwenye hiki kishirika ninachotafutia ugali, kufupisha stori ni kwamba tulifikia kwenye mipango mizur na huyu dada (nilipanga kumuoa so ni kama uchumba tuu japo cjaenda kwa wazazi ila hapa tunapofanya kazi tuliiweka bayana na likizo ijayo ndo ilikua mambo ya wazazi na kila kitu maana wote tunaishi mbali na wazazi).
Sasa juzi tukawa tunapga stori juu ya mabosi ambao wapo ziarani kukagua vituo vyote nchi nzima. Akaanza kuniambia kua mabosi hao wanatabia mbaya (wahuni, wakati mwingine wanatumia mamlaka kumpata mwajiriwa kingono). Akanieleza habari ya mdada mmoja aliyeacha kazi baada ya bosi kumlala kinguvu (sio nguvu za misuli, nguvu za mamlaka). Sasa kwenye stori akaeleza kuwa kuna bosi mmoja aliripoti kwa msimamizi wa kituo chetu kua bosi fulani(mwenzie) anatoka na mhasibu wa hapa(mhasibu ndo huyu dada). Yeye akasema ni uzushi tuu...
Sasa nikapata mashaka


then nikambana kwa maswali nyeti "akawa mkali", nikabadili mbinu "akanuna", nikawa serious akaanza kulia...!!
.. sasa mwisho wa siku ananiambia "ooohh haikua kwa hiari yanguu..." "naomba usinifikirie vbayaaa..." Aisee nimeumia saanaaa
Sasa nimejiwazia kwamba, hapo sijamuoa, lakini pia hiyo ni historia sio kwamba ndo wapo wote saiv imeniumiza kiasi hiki
. Hivi ndo mara paapp..!!! nimemuweka ndani af nakuta naibiwa, itakuajee..



Najihisi kama sitaweza kulibeba na hata huyu dada nimemtilia mashaka sijui nipige chini (maana hapo nimefupisha tuu ila nimemuuliza mara nyingi sana mpaka cku yapili, lakini akawa anakataa). Me nimemuweka kwenye kutokua mwaminifu na muongo(kwa kutokuwa muwaz kwenye hilo, maana kuficha kuna mengi labda anampango wakuendeleza hako kamchezo).
Anyway, nipo mbioni kubadili mawazo kwa huyu dada (pia nadhani ntakua loose goat kwa muda mrefu sana)