Ama kweli Kaskazini imebarikiwa na Mungu, vyote hivi tunavyo

Pamoja na yote hayo kaskazini ndio kuna binadamu ambao ni kivutio cha watalii, yani binadamu wa pande zingine huenda kuwashangaa hao binadamu kwa kuvaa shuka karne ya 21!!!

Huko kaskazini ndiko wanakotokea walinzi wa mageti yetu huku mjini.

Huko kaskazini ndio mpaka leo binadamu anaishi kwenye nyumba ya mavi ya Ng'ombe!!

Huko kaskazini ndio mpaka leo binadamu anakunywa maji bwawani pamoja na Ng'ombe!!
Mbna kaa unaleta zarau aisee...
 
WANAKASKAZINI ORIGINAL TUMEKAA KIMYA HATUJISIFII (TUNATAFTA HELA TYU) HUENDA HAWA WANAOJISIFU WALIHAMIA AU WAZAZI WAO WALIHAMIA WAKAZALIWA TYU KASKAZINI.....MKITAKA PROOF WATAJE MAKABILA YAO KAMA HAUJASIKI....mhaya,mndengereko,mgogo,mrangi
 
I'm proud to be a northerner.
Wewe kama wewe unamchango gani kwa ukanda wa kaskazini mpaka hapa ilipofikia??
Hayo maendeleo unayo ya semea ulaya waliyaishi karne nyingi zilizopita
 
Kila mahali au ukanda kuna fursa tofauti hivyo kila mtanzania anaweza kuwekeza na kuishi popote hata nje ya nchi hivyo mambo ya ukanda furani hakuna maana sana kwa mtu mwenye upana wa kufikiria na elimu pia.
 
Hahaha...hilo povu ni la sabuni gani au OMO ?View attachment 452713
Heheeee...!!
Tulia bibie dawa ikuingie,maana hata haya maneno mawili relative and absolute poverty kwako naona ni msamiati.
Watu kila mwaka mnapewa mnakula mende na viwavi halafu unakuja kuharisha hovyo hapa,
Kwetu tumebarikiwa ardhi nzuri sijui halafu kila mwaka hukohuko ndipo watu wanapokufa njaa,ushawahi kusikia Dar au msanga au kisarawe watu wakipewa mahindi ya msaada ,vp kuhusu huko kwenu kwenye mbuga za wanyama na madini lakini kila siku mnajifia njaa,
Kama una akili timamu unajisifia vipi kwamba ww ni tajiri wakati hata mlo wako wa siku mpaka upewe msaada .
Poor mind.
Kusoma na kuelimikani tofauti na kuhitimu .
Heri ya mwaka bhibhie,ushahesabiwa na kutambikia mizimu...!???
 
Habarini Wakuu,

Ukiacha Bahari tu, Nimeamini Kaskazini kuna kiiila kizuri, Mungu aliipa baraka zote hizi:-


1) KWANZA, HALI NZURI SANA YA HEWA.

Kaskazini ipo ukanda wa kitropic na mara nyingi joto linacheza kwenye 26-28 °C.

Yaani ukiondoa tu huko tambarare (savana sides) pakame ila huko pia kuna utajiri wa chuma (Engaruka) na madini (Tanzanite)


◆ ARDHI YENYE UDONGO WA RUTUBA.

- Ni maajabu ukiwa kaskazini unaweza kulima karibu kila kitu, kuanzia na

-Kahawa -Kilimanjaro, Burka Estates Arusha etc.

-Mahindi, Maharage, Ngano, Mpunga, Migomba,Mboga za aina zote, Mihogo, hadi Miti ya Mbao.

- Uoto wa Asili - kuna uoto wa asili kwa sehemu kubwa ya Kilimanjaro, hata Upareni mpaka Ngorongoro huko.

- Milima mikubwa ya Volcano ( Mt. Kilimanjaro na Mt. Meru )

NOTE:

-Tanzania nzima hakuna mlima mkubwa kuliko Meru

-Africa nzima hakuna mlima mkubwa kama Kilimanjaro

NB: Milima yote hii ina barafu na inateremsha maji mengi sana tunayokunywa, Na pia ni vivutio kwa Watalii.


◆ MBUGA ZA WANYAMA (NATIONAL PARKS)

- Arusha National Park
-Kilimanjaro National Park
-Tarangire National Park
-Ngorongoro Conservation Area

Bado some Zoo kama Meserani Snake park.

Hizo ni mbuga maarufu sana zinazotoa ajira kwa wanakaskazini wengi na watu wa kanda zingine.

◆ MAZIWA YENYE SAMAKI (REGIONAL LAKES)

-Ziwa Babati
-Ziwa Eyasi
-Ziwa Duluti
-Nyumba ya Mungu
-Ziwa Natron

NB: Hayo maziwa yote yana samaki na bado kuna samaki wanaotoka Kilimanjaro

Hatahivyo, Nyumba ya Mungu inazalisha pia Umeme.


◆ UWEPO WA MADINI (TANZANITE)

Mungu ameibariki kaskazini kwa kuipatia Madini ya kipekee yasiyokuwepo popote duniani zaidi ya Mererani pekee.


◆ UWEPO WA MITO ITIRIRISHAYO MAJI:

Katika ujenzi wa barabara kuu ya Afrika Mashariki utagundua kuwa kuna daraja kiiila baada ya mita chache. Ile ni kutokana na mito yenye maji kutokea milimani na vilimani mwa Arusha.

-Mto Themi
-Mto Naura
-Mto Ngarenaro n.k


◆ UWEPO WA ARDHI YENYE VYUMA

- Engaruka & Ugweno kuna rasilimali chuma tangu enzi na enzi.


◆ UWEPO WA SHULE NYINGI NZURI NA NYUMBA ZA IBADA

-Hapa nikitaja sintazimaliza kwakuwa ukiacha Ilboru High School iliyotoa Prominent leaders wengi pia kuna akina Precious Blood na shule nyiiingi za privates na hata

-English Mediums na International Schools.

-Pia kuna Makanisa na Misikiti mikubwa yenye hadhi za kimataifa.


◆ HOTELI KUBWA ZA KITALII

-Arusha ina hotels kubwa kabisa zenye hadhi ya nyota sita (6 *) na zenye parking ya kutosha.


◆ HOSPITALI KUBWA NA NZURI

- KCMC
-Aga Khan
-ALMC Selian etc.


◆ WASANII WAKUBWA

Muziki wa HipHop umelala Arusha.

Kuna wasanii Nguli wa Teams zinazoeleweka kama

-Watengwa- Kijenge juu
-Nako 2 Nako - Kaloleni
-Weusi - Sinoni, Daraja mbili


◆ UTAMADUNI WENYE NGUVU SANA

Wenzetu Wamasai wa Kaskazini wana Utamaduni unaotambulika sio tu Tanzania ila Africa nzima, hasa wa Mavazi, Shanga na aina yao ya dancing

Pia vyakula vya asili:

-Loshoro (Waarusha na Wameru)
-Kiburu + Machalari (Wachagga)


◆ MAENEO YA MICHEZO (PLAY GROUNDS)

- Sheikh Amri Abeid Stadium ndio football pitch kubwa Arusha. ILA pia kuna sehemu nyingi za kuplay Basketball,Netball, Volleyvall etc.

Mfano:

-Gymkhana Clubs
-Soweto n.k
-Modern side

- Pia kwa Arusha na Kilimanjaro kuna mpaka eneo lililotengwa kwa ajili ya

Ralling & Horse Riding

Ni nini Tunakosa zaidi ya Bahari tu?

* Yaani kuzaliwa tu Mt. Meru, KCMC, Selian au Mawenzi tayari umezaliwa kwenye ardhi iliyobarikiwa.

Nzalendo hebu tupia pichaz....!


■ KWA HAYO, KWANINI NISIISIFIE KASKAZINI?

God Bless Northerners.
Jinga jinga wewe
 
Habarini Wakuu,

Ukiacha Bahari tu, Nimeamini Kaskazini kuna kiiila kizuri, Mungu aliipa baraka zote hizi:-


1) KWANZA, HALI NZURI SANA YA HEWA.

Kaskazini ipo ukanda wa kitropic na mara nyingi joto linacheza kwenye 26-28 °C.

Yaani ukiondoa tu huko tambarare (savana sides) pakame ila huko pia kuna utajiri wa chuma (Engaruka) na madini (Tanzanite)


◆ ARDHI YENYE UDONGO WA RUTUBA.

- Ni maajabu ukiwa kaskazini unaweza kulima karibu kila kitu, kuanzia na

-Kahawa -Kilimanjaro, Burka Estates Arusha etc.

-Mahindi, Maharage, Ngano, Mpunga, Migomba,Mboga za aina zote, Mihogo, hadi Miti ya Mbao.

- Uoto wa Asili - kuna uoto wa asili kwa sehemu kubwa ya Kilimanjaro, hata Upareni mpaka Ngorongoro huko.

- Milima mikubwa ya Volcano ( Mt. Kilimanjaro na Mt. Meru )

NOTE:

-Tanzania nzima hakuna mlima mkubwa kuliko Meru

-Africa nzima hakuna mlima mkubwa kama Kilimanjaro

NB: Milima yote hii ina barafu na inateremsha maji mengi sana tunayokunywa, Na pia ni vivutio kwa Watalii.


◆ MBUGA ZA WANYAMA (NATIONAL PARKS)

- Arusha National Park
-Kilimanjaro National Park
-Tarangire National Park
-Ngorongoro Conservation Area

Bado some Zoo kama Meserani Snake park.

Hizo ni mbuga maarufu sana zinazotoa ajira kwa wanakaskazini wengi na watu wa kanda zingine.

◆ MAZIWA YENYE SAMAKI (REGIONAL LAKES)

-Ziwa Babati
-Ziwa Eyasi
-Ziwa Duluti
-Nyumba ya Mungu
-Ziwa Natron

NB: Hayo maziwa yote yana samaki na bado kuna samaki wanaotoka Kilimanjaro

Hatahivyo, Nyumba ya Mungu inazalisha pia Umeme.


◆ UWEPO WA MADINI (TANZANITE)

Mungu ameibariki kaskazini kwa kuipatia Madini ya kipekee yasiyokuwepo popote duniani zaidi ya Mererani pekee.


◆ UWEPO WA MITO ITIRIRISHAYO MAJI:

Katika ujenzi wa barabara kuu ya Afrika Mashariki utagundua kuwa kuna daraja kiiila baada ya mita chache. Ile ni kutokana na mito yenye maji kutokea milimani na vilimani mwa Arusha.

-Mto Themi
-Mto Naura
-Mto Ngarenaro n.k


◆ UWEPO WA ARDHI YENYE VYUMA

- Engaruka & Ugweno kuna rasilimali chuma tangu enzi na enzi.


◆ UWEPO WA SHULE NYINGI NZURI NA NYUMBA ZA IBADA

-Hapa nikitaja sintazimaliza kwakuwa ukiacha Ilboru High School iliyotoa Prominent leaders wengi pia kuna akina Precious Blood na shule nyiiingi za privates na hata

-English Mediums na International Schools.

-Pia kuna Makanisa na Misikiti mikubwa yenye hadhi za kimataifa.


◆ HOTELI KUBWA ZA KITALII

-Arusha ina hotels kubwa kabisa zenye hadhi ya nyota sita (6 *) na zenye parking ya kutosha.


◆ HOSPITALI KUBWA NA NZURI

- KCMC
-Aga Khan
-ALMC Selian etc.


◆ WASANII WAKUBWA

Muziki wa HipHop umelala Arusha.

Kuna wasanii Nguli wa Teams zinazoeleweka kama

-Watengwa- Kijenge juu
-Nako 2 Nako - Kaloleni
-Weusi - Sinoni, Daraja mbili


◆ UTAMADUNI WENYE NGUVU SANA

Wenzetu Wamasai wa Kaskazini wana Utamaduni unaotambulika sio tu Tanzania ila Africa nzima, hasa wa Mavazi, Shanga na aina yao ya dancing

Pia vyakula vya asili:

-Loshoro (Waarusha na Wameru)
-Kiburu + Machalari (Wachagga)


◆ MAENEO YA MICHEZO (PLAY GROUNDS)

- Sheikh Amri Abeid Stadium ndio football pitch kubwa Arusha. ILA pia kuna sehemu nyingi za kuplay Basketball,Netball, Volleyvall etc.

Mfano:

-Gymkhana Clubs
-Soweto n.k
-Modern side

- Pia kwa Arusha na Kilimanjaro kuna mpaka eneo lililotengwa kwa ajili ya

Ralling & Horse Riding

Ni nini Tunakosa zaidi ya Bahari tu?

* Yaani kuzaliwa tu Mt. Meru, KCMC, Selian au Mawenzi tayari umezaliwa kwenye ardhi iliyobarikiwa.

Nzalendo hebu tupia pichaz....!


■ KWA HAYO, KWANINI NISIISIFIE KASKAZINI?

God Bless Northerners.
kwani kule kwenye bahari sio kaskazini vile
 
Sehemu isokuwa na uchawi ni rahisi kuendelea!

Wenzetu kule ni fahari kwa jamii nzima kuona mtoto wa mwenzie akijenga nyuma , akienda na gari binafsi kijijini, akisoma na kufaulu n.k

Angalia sasa mikoa mingine ni uchawi tu , kurudisha maendeleo nyuma ya watoto wa wenzao ndo fahari yao,

Tena wengine hadi ndugu wanaharibu maisha ya ndugu zao

Yani hata hapo mkoa wa jirani yenu mtu akijarabu kwenda na gari binafsi kwao aone cha mtemakuni !
 
Nyie si mijizi kila sehem na mnapoondoka makwenu mnaambiwa lazima urudi na Mali haijalishi mmeipataje labda nikuulize mwanza kunakitu gani hakuna

Acha ukabila wewe. Mijizi ndio nyinyi watu wa kanda ya ziwa. Toka Tanzania izaliwe nani amekuwa kiongozi kuiba serikalini.
 
Back
Top Bottom