Sipendi topic za kishamba ukabila
Ndio mjue hata sehem zingine kunaneema ndio mana mnakimbilia nyie roho zenu ki asili ni mbaya na mnaubaguzi ndio mana mtu mwingine kutoka mkoa kuja kufungua hata duka arusha moshi ni ngum mnaubaguzi na hamnununui vitu mpaka kwa mchaga mwenzenu au mpare na juu ya yoote mtaishia kumuibiaa
Hachana - Achanakwa ubaguzi mkuu hawa jamaa hachana nao kabisa....ninao kwwnye kampuni moja nafanya nao kazi....wamejazana kika kitu wao....yaani ata kama mtu anaumwa yuko hoi na kuna tripi wapo radhi ata aende hivyo hivyo na mlingoti wa drip.....haya makabira basii tu.
Unataka kuleta ukanda kwa faida ya nani acha ujinga
Ni kweli kabisa mkuu, ukiikuta hiyo sikonge basi litaitwa ni jini.View attachment 452740
Kuna jamaa limoja baada ya kulionyesha hii picha, likawa linanibishia eti hapo si Arusha ni Brooklyn USA....Nikamwambia angalia kwa makini utaona bango la M-pesa.....
Azarel magari kama haya ya Shule yanapatikana Arusha na nchi za Ulaya na Amerika
Wanachuma huko mikoa mingine na kwenda kuendeleza kwaoSasa kama kwenu kama kuna vitu vyote hivyo unafanya nini mikoa ya watu wengine.
Tena kasahau kutaja wanagombea maji mpaka wanachoma majenereta.Umesahau kusema kuwa Kaskazini Ardhi haitoshi.
Imeshajaa..
Waisraeli wamesambaa dunia mzima je kwao kukoje, katafute jenga NYUMBANIHuyo Mungu unayempa promo mbona anaonekana kuwa mbaguzi na mkanda?
Halafu mbona vitu vingi ulivyotaja ni man made?
Kila sehemu ina faida zake, ndo maana hata hao watu wa kaskazini wanasafiri mikoa mingine kutafuta pesa.
Wangekuwa na kila kitu wangeishi kwao bila kutegemea mikoa mingine.
Je kwenu kunani? Jitetee acha kulia lia.Umeshasema mungu kawanyima bahari, kawanyima gesi, kawanyima mafuta hata makaa ya mawe mmekosa, uranium hakuna mnaishia kuoza meno halafu eti "tuna maji orijino "
Mkuu usitengemee utafanikiwa kimaisha sehemu uliyo zaliwa ni wachache sana ndiyo maana unawaona wametoka kwao na kwenda kwenye mikoa mingine
Hujiulizi kwanini Dangote kaja kuweza Tanzania?
Wahindi, Waarabu wametoka kwao ulaya wamekuja kuwekeza Tanzania?
Think big mkuu hahaha