Ama kweli CCM ni nambari wani

Ama kweli CCM ni nambari wani

Dzaka53

Member
Joined
Dec 25, 2014
Posts
26
Reaction score
7
wanajamvi nimekuwa nafuatilia ziara ya waziri magufuli ya ukaguzi wa barabara mikoani na matamshi anayoyatoa kwa wananchi juu gharama ya ujenzi wa barabara hizo,mh magufuli bila hata aibu huku akijua anawadanganya wananchi kuwa barabara hizo zinajengwa na ccm,huku akijua kuwa ni fedha zinazokopwa na walipaji ni wananchi hao anaowadanganya? Ikitokea nchi ikaongozwa na chama tofauti na ccm kuna milima ya ufisadi ktk wizara hii ya ujenzi utaibuliwa na bila shaka ni muhusika namba moja.Aendelee tu na kampeni za uraisi kwa kisingizio cha kukagua barabara wakuu nawasilisha.
 
eti naye anautaka ukuu wa kaya
 
magufuli hawezi kukwepa kashfa ya kuuza nyumba za umma kama peremende .
 
...magufuli chizi yule,kitambo nilisema kuwa huyu bwana ni misifa tu.....halafu anadhani tu wapumbavu.....kule igunga alisema hawatachengewa barabara wasipochagua ccm...sasa anaendelea....makamanda mpeni displine yake.
 
wanajamvi nimekuwa nafuatilia ziara ya waziri magufuli ya ukaguzi wa barabara mikoani na matamshi anayoyatoa kwa wananchi juu gharama ya ujenzi wa barabara hizo,mh magufuli bila hata aibu huku akijua anawadanganya wananchi kuwa barabara hizo zinajengwa na ccm,huku akijua kuwa ni fedha zinazokopwa na walipaji ni wananchi hao anaowadanganya? Ikitokea nchi ikaongozwa na chama tofauti na ccm kuna milima ya ufisadi ktk wizara hii ya ujenzi utaibuliwa na bila shaka ni muhusika namba moja.Aendelee tu na kampeni za uraisi kwa kisingizio cha kukagua barabara wakuu nawasilisha.


Magufuli hata na Mbowe wote wameshasema kwa kaulizao kuwa maendeleo hayana Chama hata hawa wawili waliweza kucheza muziki pamoja na Mbowe akifurahia mpaka kusafiri katika gari la waziri Magufuli!

 
Last edited by a moderator:
wanajamvi nimekuwa nafuatilia ziara ya waziri magufuli ya ukaguzi wa barabara mikoani na matamshi anayoyatoa kwa wananchi juu gharama ya ujenzi wa barabara hizo,mh magufuli bila hata aibu huku akijua anawadanganya wananchi kuwa barabara hizo zinajengwa na ccm,huku akijua kuwa ni fedha zinazokopwa na walipaji ni wananchi hao anaowadanganya? Ikitokea nchi ikaongozwa na chama tofauti na ccm kuna milima ya ufisadi ktk wizara hii ya ujenzi utaibuliwa na bila shaka ni muhusika namba moja.Aendelee tu na kampeni za uraisi kwa kisingizio cha kukagua barabara wakuu nawasilisha.

Mi sioni tatizo lipo wapi, kama Hela zinakopwa then zinafanya mambo ya maendeleo kama kujenga barabara. That's well 'n good!
 
Hawa ccm wapumbavu sana, wanafikiri watanzania wa leo ndo wa juzi, kodi za wananchi tunakatwa halafu wanasema ccm wamejenga! Hopeless, by the way they were supposed to do more than this with regards to revenue, grant and loans they take from wazungu, but ufisadi umetawala.
 
Wajitathimini kama projections za target zimekuwa met au wako nyuma. Kama wamemeet target, hakuna kujisifia kama wamesurpus, wanapongezwa. PERFORMANCE MANAGEMENT,!!! Sio wanataka sifa za kijinga
 
Mi sioni tatizo lipo wapi, kama Hela zinakopwa then zinafanya mambo ya maendeleo kama kujenga barabara. That's well 'n good!

Kwa nini hela zikopwe wakati fedha za walipa kodi ni nyingi ambazo zikisimamiwa vizuri zinaweza zikafanya mambo mengi ya kimaendeleo bila ya kutumia hata senti ya mkopo.

Tatizo la viongozi wa CCM wamezifanya kodi za wananchi siyo fedha za kufanyia maendeleo ni za kugawana wenyewe.

Fedha za maendeleo kwao ni zile za kukopa ambazo mwanachi atalazimika kuzilipa baadae.
 
Na chadema c wangeenda kukopa na wao wajenge izo barabara?
 
Utasikia Ccm Nambari One, Sasa One Yenyewe Hiyo Wanaonyesha Dole Gumba, Mimi Najiuliza Hivi Mtu Ukiambiwa Unyoshe Kidole Kimoja Juu Utanyosha Kipi?
 
Kama sio CCM inajenga barabara mbona sehemu ambazo bado hazijajengwa mnalaumu CCM?
 
Back
Top Bottom