fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Yericko umeandika vyema leo, lakini wanazi wa chadema watakuja kuanza kukutukana hapa maana wao hupenda kusikia mazuri tu masikioni mwao!
wewe ndo unawaza kutukana, hakuna mchadema anayetukana hoja kama hizo zenye kulisha ubongo hayupo, hoonger yericko nyerere