humo kwenye red ndo matatizo yako..kwamba umeshajijua kwamba wewe ni mzuri na uko vizuri kifedha,,na obvioously unakua na attitude inayo reflect hivyo vipengele..either kwa kujua au kutokujua so what man do u think will want to stay with a woman who has such a mentality,, uzuri hauliwi..bana..wewe design unaringa ringa hivi..amini hivyooo...Hi Guys My Name is Cynthia. Iam a young beautiful woman and alot of men keep chasing me. But i have noticed a very worrying thing, i cant keep a man for more than 4 months. Every man who hooks up with me drops me after some time. Iam financially stable so i cant say iam a burden to them. Whenever i try to ask them what is the problem, none has told me the truth. They simply say, You are a very beautiful and sexy lady but you are not my Type. Iam now losing my self esteem. Is this Beauty of mine a curse?
yours Cynthia
Hi Guys My Name is Cynthia. Iam a young beautiful woman and alot of men keep chasing me. But i have noticed a very worrying thing, i cant keep a man for more than 4 months. Every man who hooks up with me drops me after some time. Iam financially stable so i cant say iam a burden to them. Whenever i try to ask them what is the problem, none has told me the truth. They simply say, You are a very beautiful and sexy lady but you are not my Type. Iam now losing my self esteem. Is this Beauty of mine a curse?
yours Cynthia
mmh may be the problem is not you but your selection, too much selective is not gud in love
slowly slowy kupitia hapa JF nimejifunza kuwa naweza ishi na mwanaume wa aina yyte ile kabila yyte ile mkali na mpole ,you guys yu gota same preliquisites in love yaani ukaweka consistence ya mambo fulani unawezaa ishi na mwanaume kwa miaka mingi hata kama humpendi na ukapata utakacho ukasepa nakuja gundua katika maswala machache sana wanaume wanawaza mbali ila katika swala la mapenzi aisee yaani unamteka kwa kitu kidigo sana.weka mbali natembo
Every Woman is wife material, what matters is What kind of Wife You want....
....
Unatakiwa ujue wanaume wanataka nini na kujiangalia kama kweli unao uwezo wa kuwapa hicho wanachotaka ama laa; pili unatakiwa u-behave kama mwanamke, uyajue majukumu ya uanamke, uyakubali na uyatekeleze bila kigugumizi. Tatizo la wanawake wengi wanafikiri mwanaume shida yake ni nyapu na kurembuliwa macho. Kama hutaelewa lugha ya taifa nitakuwekea version ya kimombo usuzike na roho yako.Hi Guys My Name is Cynthia. Iam a young beautiful woman and alot of men keep chasing me. But i have noticed a very worrying thing, i cant keep a man for more than 4 months. Every man who hooks up with me drops me after some time. Iam financially stable so i cant say iam a burden to them. Whenever i try to ask them what is the problem, none has told me the truth. They simply say, You are a very beautiful and sexy lady but you are not my Type. Iam now losing my self esteem. Is this Beauty of mine a curse?
yours Cynthia
itahwa Tabia, maneno na lugha unayoongea ukiwa na wapenzi wako inaweza kuwa tatizo.
Wanaume mara ningi hawapendi wanawake wakali, wenye majivuno.
Na inaonyesha umeshindwa kuficha asili yako na pia huenda ukawa na high expectation katika maisha yako ambapo wewe mwenye hata uishi karne hauwezi fikia. na unataka mabadiliko hayo yatokee kwa mwenza wako haraka bila kuuangalia yeye ana nini.
pole sana.
like in 'coming to america' pretend you are poor ie a daughter of a goat headerHi Guys My Name is Cynthia. Iam a young beautiful woman and alot of men keep chasing me. But i have noticed a very worrying thing, i cant keep a man for more than 4 months. Every man who hooks up with me drops me after some time. Iam financially stable so i cant say iam a burden to them. Whenever i try to ask them what is the problem, none has told me the truth. They simply say, You are a very beautiful and sexy lady but you are not my Type. Iam now losing my self esteem. Is this Beauty of mine a curse?
yours Cynthia