ndusyepo Senior Member Joined Jul 2, 2013 Posts 167 Reaction score 50 Jul 23, 2013 Thread starter #21 hahahaahaha...kuwafukuza siwezi maana naogopa maneno ya ukoo wao...ukizingatia ni muhaya lol @
Kizazi jeuri JF-Expert Member Joined May 16, 2013 Posts 297 Reaction score 64 Jul 24, 2013 #22 Kwani umeoa kwa wasukuma au? Maana ndugu zangu wasukuma ukiona Kwao familia nzima inaamia kwako tena from Mwanza.... Pole..
Kwani umeoa kwa wasukuma au? Maana ndugu zangu wasukuma ukiona Kwao familia nzima inaamia kwako tena from Mwanza.... Pole..