The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Aisee mimi mzima niko nawanga usiku nimekosa network imenibidi kupanda juu ya bati majirani wakiniona hawachelewi kunipigia kelele za mchawiFinest mbona husemi chochote,hujambo wewe?
Aisee mimi mzima niko nawanga usiku nimekosa network imenibidi kupanda juu ya bati majirani wakiniona hawachelewi kunipigia kelele za mchawiFinest mbona husemi chochote,hujambo wewe?
Dah!! Kumbe na wewe ni mpenzi wa movienatamani ningepata hata hiyo movee kama ni nzuri niwatch maana na huu upweke sina hata usingizi
thanks... Maybe I am too naive ila nadhani mtu akiwa desperate kiasi hiki kwa issue ambalo lina weza kupata solution ni lazima asaidiwe. maybe she is just wasting our time, or maybe she is genuinely depressed and needs advise and help...RR, am impressed by your honest concern and opinion about this issue.
Kibali, nakuombea dua yako ipate Kibali machoni pa Bwana....umpate umpendaye. Amen.
Dah!! Nikienda kulala si utabaki mpweke sasahahaha bora umenipa kicheko,nenda kalale kabla hujapigiwa hiyo kelele
kaizer muoneshe the finest 'the guide ' ileeee
Panda Kobe uone miondoko.....Kashaiona mkuu...kashaiona huyo......
thanks... Maybe I am too naive ila nadhani mtu akiwa desperate kiasi hiki kwa issue ambalo lina weza kupata solution ni lazima asaidiwe. maybe she is just wasting our time, or maybe she is genuinely depressed and needs advise and help...
Panda Kobe uone miondoko.....
Hahaha!!! Leo zamu yangu lindo la usiku sasa tukienda kulala wote si Kibali ataendelea kubaki mpweke lolivi TF kitanda chako kina kunguni ama nini loln (Kibali anakusubiri mkaangalie Movie and I suggest muwatc "escape from madagascar' lol)
yeah. I think at some point kila mtu anapitia kipindi hiki na kina tu-affect kwa viwango tofauti... ila namuelewa sana tu...all is good RR....you are not that naive...I think you are just giving her a normative perspective on this issue...big up
Wadau wa jukwaa tukufu la MMU, upweke ni kitu kibaya sana wapendwa! Pamoja na uzuri niliobarikiwa na Mungu lkn sijabahatika kupata wa kuniondolea upweke,natamani nipate mtu anipende nami nimpende,aniambie i miss u,i love u,nakuhitaji,anipe maneno matamu ya mahaba,sijawahi kupata,niliyewahi kuwa nae ilikuwa sawa na sina mpenzi!simu mpaka nipige mimi,msg niandike mimi vinginevyo atanyamaza hata wiki!am so desparate nahitaji counselling au msaada niondokane na hii hali tafadhali.
RR asante kwa wema wako,,napenda vitu vingi outing ikiwa moja wapo,tatizo liko hivi,natakiwa nisahau kwa muda gani na umri nao unasogea?utata ninaoupata mbona huwa sitongozwi ni nini!
Ngoja nikuulize swali moja ndo ntajua kama kweli upo siriasi ama lah,ikitokea umepata watu 5 wamekuaproch hapa na mimi nikiwa mmoja wao,je utatumia strategy zipi kumpata anayekufaa kati yetu?
msani kusema ni mzuri ni ktk kujieleza lakini hainipi kuwa na kiburi kabisa,niko simple sana lkn ndo hivyo