gyeetitus
Member
- Dec 16, 2016
- 86
- 39
Guys wa humu ndani, naomba wazo lako tu,
Ni miaka mitano sasa tangu nilipompata mwenzangu kwa kuanza nae maisha (mchumba) kipindi hicho nakaa nae pamoja lakini gafla akahama mkoa na kwenda DSM hiyo haikuwa changamoto sana kwani tuliendele kuongea kupitia mawasiliano, lakini cha ajabu nina miezi mingi mjini Dsm tangu nije hataki kuniona.
Ushauri wenu nauhitaji
Ni miaka mitano sasa tangu nilipompata mwenzangu kwa kuanza nae maisha (mchumba) kipindi hicho nakaa nae pamoja lakini gafla akahama mkoa na kwenda DSM hiyo haikuwa changamoto sana kwani tuliendele kuongea kupitia mawasiliano, lakini cha ajabu nina miezi mingi mjini Dsm tangu nije hataki kuniona.
Ushauri wenu nauhitaji