Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,580
- 50,671
Kuna watu wanaamini pm yangu haifanyi kazi😄😄😄🤣🤣🤣 bora ufunge pm, la sivyo watamiminika muda si mrefu
Unamlia mtu bati zito mnooooo
Kuna watu wanaamini pm yangu haifanyi kazi😄😄😄🤣🤣🤣 bora ufunge pm, la sivyo watamiminika muda si mrefu
Sasa siku nitakapomleta nyumbani kulipa mahari usije ukaanza kuomba mapambio Hallelujah hosannaSi ndo mzimu huo..🤣
Wacha bhana usiniambieAcha roho mbaya.
🤣🤣 Nishindwe kunywa Safari lager nije niimbe mapambio Tena ya kuimbia mzimu!Sasa siku nitakapomleta nyumbani kulipa mahari usije ukaanza kuomba mapambio Hallelujah hosanna
Wewe kaka mkubwa litakukuta jambo ujue🤣🤣🤣🤣🤣 Nishindwe kunywa Safari lager nije niimbe mapambio Tena ya kuimbia mzimu!
Umetualika tuje, halafu unatukataa.Wacha bhana usiniambie
Ngoja niwatilie kufuli kabisaUmetualika tuje, halafu unatukataa.
Chaajabu utaleta jitu nalolishinda uhandsome! Na unajua Kaka yako nashika namba za mwisho kwenye u handsome.. mizimu ikusaidie ili uselect mzimu mzuri Kati ya mizimu..🤣Wewe kaka mkubwa litakukuta jambo ujue🤣🤣🤣
Hahaha,.... Angalia usijekuwa unafungia bahati.Ngoja niwatilie kufuli kabisa
Nakuletea kitu cheusi kimepanda kwa hewa sanaChaajabu utaleta jitu nalolishinda uhandsome! Na unajua Kaka yako nashika namba za mwisho kwenye u handsome.. mizimu ikusaidie ili uselect mzimu mzuri Kati ya mizimu..🤣
Weee usiniambieHahaha,.... Angalia usijekuwa unafungia bahati.
Kwani umeanza leo! Kwani Lile zimwi la Mara ya kwanza mlishindwana nini maana huyu mpya atakuwa wa kumi na mbili Kama sio kumi na tatu! Anyway nisikuvunje moyo labda hii ndo bahati yako wacha mi nijinywee safari lager ikanisafirishe kwa yule mpangaji mpya mwenye utako lililonona na jicho la sumaki hips na lips Kama urojo toka pwani!. 😅Nakuletea kitu cheusi kimepanda kwa hewa sana
Ungekuwa unampenda Mola Maulana hivi, japo robo ya hii, I guess malaika wangekuwa wanashort list jina lako deile kule peponi ili uhamishiwe Paradise hata kwa unyakuo mahususi. Anyways, just keep smiling, but remember your Creator
NB: Haka ka memo hakahusiani na wivu
Umenikumbusha mbali sanaMahabuba, Mpenz, La Aziz,
My Love, My Heartbeat, My Handsome,
My Best Best Friend, My Soulmate,
My Man, My King, My One and Only...
My Pumpkin, My Darling, My Breath...
Most of All, My smile....
You know what, these are sweet nothing words from me to you.
With you I find peace, natural joy, happiness, love and laughter,
I fell free, I share my jokes and enjoy yours...
The Moments I had with you are stamped in my heart ❣.
I adores you, I love you and I will always Love you.
I am feeling good tonight
This thing called Love, gat me thanking God for meeting and know you in my life.
I can’t explain..... my feelings are expressed by my smile 😊.
I can’t explain eh yeah....
Oujuelegba, My Legendary Lover.
Dadii 🥰🥰😘.
Shugaaa...!😇