Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,958
- 55,051
Yuko hapa anachezea kidevu.Nahrene yuko wapi?
Yuko hapa anachezea kidevu.Nahrene yuko wapi?
Wewe ulikuwa hujui umeelekezwa ukajua mpaka ukaweza kuingia jukwaa la dini na jukwaa la wakubwa....umewezaje kusoma huku ulikuwa hujui kama mimi????? jonax
tena amejifungua mapacha.Sawa...!
Najua umemtia mimba ndo mana haonekani jukwaani.
Ubarikiwe nimekuelewa
Mimi ni underground mkongwe.
Ila nitakuelekeza...!
UNAFANYA HIVI;
unamtumia moderator pm, ukisema "naomba uniunganishe kwenye jukwaa a dini na jukwaa la wakubwa"
Baada ya hapo atakutumia msg na ww pm kywa tayari kashakuunganisha
ZoteAnakuchezea ndevu zipi, za juu au za chini?
Akijibu tofauti nafuta account yangu ya jfAnakuchezea ndevu zipi, za juu au za chini?
Watu tunakula raha mkuu.
Ushindwe ukalegeeKumbuka uchawi bado sijaacha.. na pia bado nampenda sana Nahrene.hvyo nakuloga
View attachment 398988
Tatizo ubahili umekuzidi.Raha gani?
Wakati unatembea na mke wa mtu alavyo unaniona mm mumewe ni bwege