Am looking for a serious and smart man!

Am looking for a serious and smart man!

Hayo masharti unatafuta mume au Rafiki kwa unajifanya mpenda dini Unajuaje Bwana uliyeandaliwa na Mungu atakuwa na elimu unayohitaji atakuwa anaishi dar atakuwa mfanyakazi masharti yako hata ya interview za kazi yamezidi omba sana Mungu akupe chaguo lako alilokupangia na siyo unalolitaka Mume mwema na mke mwema utoka kwa bwana
 
Habari zenu wanajamvi!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mwanamke wa miaka 26 sasa...natafuta mwenye sofa zifuatazo.
.Mcha Mungu, yaani mwenye hofu ya Mungu, awe mkristo tu.( esp SDA)..sio lazima awe dini hiyo ila mwenye dini hiyo atapewa kipaumbele zaidi.
.Awe mrefu kiasi...sio sana. Ila asiwe mfupi Sana.
.Awe na umri wa miaka kuanzia 27 - 29.
.Awe anafanya kazi serikalini au ktk kampuni yoyote hapa Dar es salaam..( mi naishi Dar kwa sasa..that's why nasema awe mkazi wa hapa Dar).Naomba nisisitize hapa, awe anafanya kazi. Kama huna kazi...am sorry.
.Elimu awe degree, masters na kuendelea.
.Awe mkweli, muaminifu, mkarimu, mpenda watu , asie na majivuno, dharau,kiburi, mcheshi na mwenye heshima.
.Akiwa msukuma au mnyamwezi atapewa kipaumbele zaidi. Wakurya, wahaya...HAPANA.
.Sifa zingine tutaendelea zaidi kuelezana!

Sifa zangu;
.Heshima, mpole, mcheshi,mkweli, muaminifu muungwana, mnyenyekevu, mpenda watu, na mcha Mungu.
.Mnene kiasi,mweupe.
.Elimu yangu degree+ post
.Umri miaka 26

Naomba msamaha kwa wale watakaokwazika kwa post yangu...maana binadamu tunatofautiana, hatuko sawa kiuelewa. Kuandika vipaumbele vya dini na makabila hakumaanishi mimi ni mbaguzi....ila nimeamua kua mkweli na honest kuliko kujivika uongo usiokua na sababu. Hivyo mtanisamehe bure.
Na ukiona post haikufai...pita kimya kimya...ni kwa walio serious tu. Sipendi matusi wala kejeli. By the way hata ukitukana na kukejeli..Nishakusamehe tayari, maana mi mwenyewe nimeshasamehewa mengi tu.
Please kwa mwenye sifa hizo naomba ani PM.

Natanguliza Shukrani.
Jumamosi njema.
Pambafuuuu! Sifa uliyonayo ya kweli ni hiyo digrii tu hizo nyingine Huna, Muungwana hachagui kabila,
na kama umesamehewa mengi una matatizo! Maana yake we ni mkosaji mkosaji tu.
 
mama wew mwenywe huna kaz au una shughul zako?? maana ulivosistza kua awe na kaz duh!!
 
Mshahara itakua kiasi gani kwa yule atakae kuwa na hizo sifa? Maana naona ndoa nazo sasa zimekua ajira.
 
Hapa kweli kazi ipo !!!!! Subiri uchaguzi umalizike pengine unaemtaka hupo bizy kujenga taifa
 
Mm niko moro kama uko tayari ni pm. Sifa zote ninazo tatizo location
 
Donjama

Mpaka umeweka tangazo c bure kuna kasoro unayo..." Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza(chajitangaza).

Kibaya zaidi nyodo kibao asiye na kazi hutaki possibly kazi yako mwalimu..
 
Last edited by a moderator:
Kazi imekua certificate kwa mambo mengi wale tusio na kazi thubutu yetu.utaambulia maumivu na matusi
 
Hayo masharti unatafuta mume au Rafiki kwa unajifanya mpenda dini Unajuaje Bwana uliyeandaliwa na Mungu atakuwa na elimu unayohitaji atakuwa anaishi dar atakuwa mfanyakazi masharti yako hata ya interview za kazi yamezidi omba sana Mungu akupe chaguo lako alilokupangia na siyo unalolitaka Mume mwema na mke mwema utoka kwa bwana

Asanteh Sana. Na usijali Bwana hataniacha!
 
Kazi imekua certificate kwa mambo mengi wale tusio na kazi thubutu yetu.utaambulia maumivu na matusi

Usijali...one day itakua' Yes' tu kwako! kila mtu ana vipaumbele vyake ...hope na wewe ukiambiwa utaje utasema vyako! Sio dhambi kutofautina kimawazo!

Thanks kwa comment yako
 
hahaaa watu hapa maneno yanawatooka halafu washajaza Pm ya mleta thread...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom