Am looking for a serious and smart man!

Am looking for a serious and smart man!

Mimi nina sifa zote hapo, ila naomba tupime ukimwi kwanza ndo tunaendelea nipm nikupe namba yangu nitumie pics yako huko whatsaap,
 
Sifa zote ninazo ila we ndo huna sifa ninazozitaka.Mungu akutangulie umpate atakae kuwa furaha yako.jion njema
 
I cant believe baadhi ya posts kama hii inaletwa na msomi mwenye postgraduate dip x.... huko kote ama wote wanaokuzunguka hajatokea wa kumkubali uje kumpata kutoka kwa usiowaona?? Am sure itakuwa unatatizo kubwa sana haswa tabia yako unatafuta wasiokujua ili uwe fisi ndani ya ngozi ya kondoo................
 
I cant believe baadhi ya posts kama hii inaletwa na msomi mwenye postgraduate dip x.... huko kote ama wote wanaokuzunguka hajatokea wa kumkubali uje kumpata kutoka kwa usiowaona?? Am sure itakuwa unatatizo kubwa sana haswa tabia yako unatafuta wasiokujua ili uwe fisi ndani ya ngozi ya kondoo................

Hahahaaa jamani kila mtu na mtazamo wake mbona mi nimemaliza kote huko sikuona nilimpata humuhum na tunaishi vizuri sana naona ni Mungu alimuandaa kwa ajili yangu mwache huenda akapata bahati
 
Binafs sifa ulizosema ninazo zoote,ila imeishaniboa na kukuona hufahi kabisa kuwa mke...ma si ajabu una nakilasani...kaka yangu kaoa mhaya..ana watoto nne, dada yangu kaolewa na mkurya wana watoto 3, tuna kampuni ambayo iko na maendeleo mazur..management yote ni familia moja..nilitegemea mke nitakae muoa aungane na timu hii..woote wanashule nzur na,si ajabu kuliko yako..hivyo naona kwa maelezo yako utaleta ubaguz
 
Kutokana na sifa zako inaelekea wewe ni SDA, anyway kila la heri hapa ila nakua na mashaka sana na sifa zako ulizojipa, nasema uliyonipa coz naamini kama wew ni SDA na umekamilika na hizo sifa usingekua na haja ya kujitengaza, hivi kweli huko kwenye semina za SDA, makambi, seminars za vijana, wiki za maombi na makanisa yote ya hapa dar na mikoani na hata mtaani kwako umekosa? Nimezungumza zaidi SDA coz umeweka kwenye mashart yako, labda nikaweke wake wazi kama utachukia poa tu ila nitakachosema kama wewe ni SDA utakishuhudia, katika maisha yangu mpaka nimekulia kwenye SDA na nimesoma shule za SDA, labda chuo tu ila chuo tulikua na kundi la THISDASO, KAMA WEWE UNASIFA ULIZIJIPATIA na una hofu ya Mungu na umekua kwenye maadili ya kisabato na kuyazingatia nahisi sasa hivi ungekua ndani ya ndoa na watoto wako swafii.. Yani mabinti wote wa SDA na waliojitunza ambao nawajua wana hizo sifa ulizoziweka na ambao ni wife material wao ndo wanachagua nani wa kuwa mume..kibaya ni kwamba wanaume wa SDA tunawajua sana kama hujatulia mama utakaa sana na sifa zako zinajulikana, kumbuka bibilia inasema katika Ayubu "katika uzee wangu sijamuona mwenye haki akiachwa" na sio katika SDA tu katika makanisa yote kizuri hakikai kibaya chajitembeza..
 
yaan dada yangu, mm kama mchungaji hapo hakuna vigezo vya muhmu. jaman muwe serious ndoa ni dunia nyingne!!!

tumechoka kutatua kesi za ndoa, ni pm nikupe sifa za mwanamme anaestahl kuwa mume
 
Kutokana na sifa zako inaelekea wewe ni SDA, anyway kila la heri hapa ila nakua na mashaka sana na sifa zako ulizojipa, nasema uliyonipa coz naamini kama wew ni SDA na umekamilika na hizo sifa usingekua na haja ya kujitengaza, hivi kweli huko kwenye semina za SDA, makambi, seminars za vijana, wiki za maombi na makanisa yote ya hapa dar na mikoani na hata mtaani kwako umekosa? Nimezungumza zaidi SDA coz umeweka kwenye mashart yako, labda nikaweke wake wazi kama utachukia poa tu ila nitakachosema kama wewe ni SDA utakishuhudia, katika maisha yangu mpaka nimekulia kwenye SDA na nimesoma shule za SDA, labda chuo tu ila chuo tulikua na kundi la THISDASO, KAMA WEWE UNASIFA ULIZIJIPATIA na una hofu ya Mungu na umekua kwenye maadili ya kisabato na kuyazingatia nahisi sasa hivi ungekua ndani ya ndoa na watoto wako swafii.. Yani mabinti wote wa SDA na waliojitunza ambao nawajua wana hizo sifa ulizoziweka na ambao ni wife material wao ndo wanachagua nani wa kuwa mume..kibaya ni kwamba wanaume wa SDA tunawajua sana kama hujatulia mama utakaa sana na sifa zako zinajulikana, kumbuka bibilia inasema katika Ayubu "katika uzee wangu sijamuona mwenye haki akiachwa" na sio katika SDA tu katika makanisa yote kizuri hakikai kibaya chajitembeza..


Na wewe ni SDA?
mwanamke? umeolewa?
 
hapana aisee yani ndo maana tunalilia mabadiliko yani hii serikali bana sijui imeanza lini mtindo wakuwapa simu raia wa mirembe aisee rudisha simu kwa dktari afu ukishapona kabisa ndo ulete threads jf mbaguzi mkuwa wewe
 
Kutakuwa na written + oral interview!

Msisahau kuambatanisha vyeti vya elimu zenu na cha kuzaliwa kwa uhakiki zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom