Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,188
- 1,912
Hizo chanjo ni sumu na hazifai. Hakuna beberu anayeweza kukupenda wewe. Acha kujipendekeza.Hahaha haka kajamaa hakana hoja kakishindwa hoja kanakimbilia kuomba huruma na eti 'ignore list'
60 years ago hao mabeberu walikuwa wanawauza baba zako utumwani na kuwachapa mijeledi kama mifugo. Ni juzi tu hapa hata vizazi viwili havijapita.
Eti chanjo!!! Wakuchanje wewe kwa kuwa wanakupenda sana!
Zinduka wewe! Usiwe nyumbu!