Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Hii ndio raha ya chitchat,......Wali,ubwabwa,mpunga,ubweche,chakula cha ndenge.....!
Chakula cha ndege umenikumbusha bibi yangu mzaa baba, alikuwa hali kuku wala mayai.
Hii ndio raha ya chitchat,......Wali,ubwabwa,mpunga,ubweche,chakula cha ndenge.....!
Ha ha ha ha mweh mia bana dah u made my day
ubwabwa=ubeche,wali.
Pilau=mnuso/msosi/visherehe/.
Kujichua=kupiga nyeto,kupiga puli.
Kufanya mapenzi=kubandua/kufanya tendo la uumbaji/kumpa nao,kusex,kufanya matusi,n.k Nalog off
kibosile/shefa/mwezeshaji/bosi
wali/ubwabwa/mpunga/ubeche