Alone but happy


Tyta umetisha mkuu!
 
Kumbe tuko wengi......nilijua peke yangu tu.....am alone not LONENLY!am enjoying every bit of it!
 
Kumbe tuko wengi......nilijua peke yangu tu.....am alone not LONENLY!am enjoying every bit of it!

pamoja mkuu,tupo weng tu na wengine watakuja ila sasaiv wanaona noma kusema kuwa wapo lonely
 
ni kujidanganya tu umeshapigwa chini unajifanya alone...poleeeee...kisaikolojia tunaita defence mechanism...vijana wa kileo wanasema unapretend
 

Tyta tisha sana,hahahaaa.
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine ni bora uwe mwenyewe{mpweke},vlakini mwenye furaha kama mimi kuliko kuwa na mwenzi wako(mpenzi), alafu kila siku maumivu mpaka unakosa raha.

Haujachelewa unaweza kuwa kama mimi na maisha yakaenda vizuri kabisa.

Alone but happy
Sijui umechukua kigezo gani cha kusema kuwa alone ukaweka upweke kwenye mabano halafu uwe happy,inawezekana ukawa wewe ndio tatizo ina maana umemaliza wote ukagundua kuwa ni bora uwe alone,wapo wengi tu ambao ukitulia na kufanya RIGHT selection bila ya papapra wanaweza kukufanya ukawa na furaha kuliko huo upweke unaoujengea hoja kuwa una furaha.Ushauri, usiwe mtu wa kukata tamaa yawezekana bado ni kijana sana hivyo hujui furaha ya kuwa wawil,i nina uhakika utakapofika umri kama wangu utagundua umefanya bonge la kosa kuamua ku chukua hiyo njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…