Kicheba One
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 399
- 194
Chadema ni mpango ya Mungu.
Mungu yupi?
Watu wanapenda umaarufu..who is Bananga katika nchi hii?
Dhamira ya ccm ni chadema kufa kabla ya 2015,lengo kuwadhofisha mbowe na slaa na sasa rungu hilo kakabidhiwa mchange kwa ahadi ya ulinzi na pesa kama atafanikiwa but am sure hawezi kufanikiwa,wacha tupime imani ya IGP kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa kisha uchaguzi mkuu