Dhamira ya ccm ni chadema kufa kabla ya 2015,lengo kuwadhofisha mbowe na slaa na sasa rungu hilo kakabidhiwa mchange kwa ahadi ya ulinzi na pesa kama atafanikiwa but am sure hawezi kufanikiwa,wacha tupime imani ya IGP kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa kisha uchaguzi mkuu