Chimemena
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,376
- 452
Habari Wakuu!
Wakati tunaendelea kutofakari na kuchambua maamuzi ya kujiuzuri kwa Muhongo, kutangazwa na kuapishwa kwa Mawaziri leo naomba pia tujiulize na kuangalia siasa zinazofanywa huko Zanzibar na mtoto wa rais wa kwanza wa Zanzibar Balozi Ally Amani Karume kwa manufaa ya wazanzibari na watanzania kwa ujumla.
Huyu mwanasiasa sijui ndo kujipigia debe urais wa Tanzania ana wa Zanzibar kama ilivyonenwa hapo awali amekuwa akibeza na kukejeri muundo wa serikali ya Kitaifa ama Maridhiano uliofanyika kati ya CCM na CUF huko Zanzibar uliosimamiwa na kaka yake Rais mstaafu Amani Karume kwamb ni waj ajabu, haufai na hajawahi kuona mahala popote duniani na anashangaa kwa nini iwe Zanzibar yenye makamu rais wawili?
Bila kurejea nyuma tulikotoka kwa uhasama ulikuwepo kati ya cuf na ccm zanzibar mpaka kukatana mapanga, kuuwawa na kupoteza wengine lakini balozi Karume amekuwa akionyesha wazi kuwa na nia ya kuvunja maridhiano haya na kuwakehi viongozi waliopo madarakani, wako wapi watu wa kumkanya ama kumweleza mazuri ya muundo huu au hata kujaribu kumuuliza kaka yake kwa nini alifanya hivyo?
Je nia na dhamiri yake ni kutaka kuleta tena machafuko Zanzibar au anataka nini?
Wakati tunaendelea kutofakari na kuchambua maamuzi ya kujiuzuri kwa Muhongo, kutangazwa na kuapishwa kwa Mawaziri leo naomba pia tujiulize na kuangalia siasa zinazofanywa huko Zanzibar na mtoto wa rais wa kwanza wa Zanzibar Balozi Ally Amani Karume kwa manufaa ya wazanzibari na watanzania kwa ujumla.
Huyu mwanasiasa sijui ndo kujipigia debe urais wa Tanzania ana wa Zanzibar kama ilivyonenwa hapo awali amekuwa akibeza na kukejeri muundo wa serikali ya Kitaifa ama Maridhiano uliofanyika kati ya CCM na CUF huko Zanzibar uliosimamiwa na kaka yake Rais mstaafu Amani Karume kwamb ni waj ajabu, haufai na hajawahi kuona mahala popote duniani na anashangaa kwa nini iwe Zanzibar yenye makamu rais wawili?
Bila kurejea nyuma tulikotoka kwa uhasama ulikuwepo kati ya cuf na ccm zanzibar mpaka kukatana mapanga, kuuwawa na kupoteza wengine lakini balozi Karume amekuwa akionyesha wazi kuwa na nia ya kuvunja maridhiano haya na kuwakehi viongozi waliopo madarakani, wako wapi watu wa kumkanya ama kumweleza mazuri ya muundo huu au hata kujaribu kumuuliza kaka yake kwa nini alifanya hivyo?
Je nia na dhamiri yake ni kutaka kuleta tena machafuko Zanzibar au anataka nini?