Alliance Global in Motion siyo DECI nyingine?

Alliance Global in Motion siyo DECI nyingine?

hps300

Senior Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
170
Reaction score
152
Wanajamvi,

Kama mjuavyo Tanzania tunaishi kwa matukio, kuanzia kikombe cha babu, Deci, D9 Club, Mayai ya kware, Kilimo cha green house, Ufugaji wa Sungura na sasa Alliance Global in Motion.

Nimeleta hii mada kwa sababu kila mtu unayekutana naye sasa hivi mtaani atakueleza ni namna gani unaweza kuwa tajiri ndani ya mwaka mmoja kwa kujiingizia kitita kisichopungua million mia moja thelathini.

Nikiangalia maelezo ya wahusuka bado naona PYRAMID ndani yake. Kwani kwa kuanza unapaswa kutoa kiasi cha laki tano na zaidi, unapewa bidhaa, alafu unatafuta watu wawili ambao nao watajiunga kwa kiasi hicho hicho, hapo wewe ambaye ni memba mkuu unapata elfu 34 kama gawio toka kwa kila mwanachama.

Maelezo ni mengi na trend inaenda mpaka makundi 16, Swali wana jamvi hii kitu vipi? siyo deci nyingine hii? Wenye uelewa na hii kitu hepu leteni data hapa ili kama kunafaida watu wapige hela ila kama ni Deci 2 watu wachukuwe tahadhari.

Nawasilisha.
 
Mkuu una watu wawali wanaoweza kupoteza laki tano na 60 kila mmoja ili wewe upate elfu 34 baada ya kuchangia laki 5 na 60?
 
Ni aina nyingine ya upatu tu. Haina tofauti na wanaojiita sijui forever living na wengine kibao. Ni DECI nyingine hii.
Hata hivyo wapo ambao hunufaika na hii kitu, so waweza kujaribu bahati yako, but take your brain with you
 
Mkuu una watu wawali wanaoweza kupoteza laki tano na 60 kila mmoja ili wewe upate elfu 34 baada ya kuchangia laki 5 na 60?
Mkuu nimeileta kama ilivo ili utakapokutana nayo uwe tayari umejipanga. Make wanaongea kama kasuku usipokuwa makini unapigwa sekunde, make nimejaribu kuwauliza maswali kadha kadha wakanipeleka mpaka kwenye vislide vyao lakini bado nikaona kuna kupigwa hapa
 
Mkuu nimeileta kama ilivo ili utakapokutana nayo uwe tayari umejipanga. Make wanaongea kama kasuku usipokuwa makini unapigwa sekunde, make nimejaribu kuwauliza maswali kadha kadha wakanipeleka mpaka kwenye vislide vyao lakini bado nikaona kuna kupigwa hapa
Na mimi niliwahi kuviona wemeviadobe photoshop
 
Wapo fb na wanapiga picha na magari makali makali wakisema wameyanunu baada ya kuingia kwenye iyo bzness for seven or one year
Ukitamani tu inakula kwako
 
Uoga wako ndo umaskini wako, hz network marketing n nzur pia n mbaya...kama ukiwa kujoin, una chance kubwa ya kufanikiwa. Na watu wanapata mafanikio makubwa sana.

Karibu Makumbusho kwnh semina zao, utajfunza ving zaid au niPM ntakupeleka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uoga wako ndo umaskini wako, hz network marketing n nzur pia n mbaya...kama ukiwa kujoin, una chance kubwa ya kufanikiwa. Na watu wanapata mafanikio makubwa sana.

Karibu Makumbusho kwnh semina zao, utajfunza ving zaid au niPM ntakupeleka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu RUDIA kwamba ni kuPM unipeleke ....... Joking man am not of those kind. Wewe kafanikiwe tu siyo lazima wote tufanikiwe kwa kupitia Pyramid Scheme, asante
 
Ponzi scheme,watu WA mwanzo wanapiga hela Sana.Kufa kwake Ni pale wanachama wapya watakapokosekana coz kutakua hakuna money circulation.Naona watu wengi wamekimbilia huko wanakamsemo kao kakuwafanya "ordinary people kuwa extra ordinary millionaires"
 
Hiyo hela bora uanze kufuga kuku wa mayai kabisa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila mtu ataweza kufanya aina flan ya business, for example wapo wanaweza kufuga na wapo ambao hawawezi. Wapo wanaoweza network marketing nd others hawawez,

AIM Global ni fursa nzur sana kumkomboa mtu kiuchumi and bado iko vzur sana since haina mda mrefu tangu ianze. The earlier you join, the more money u will make, labda baada ya 7-10 yrs ndo unaweza kusema biashara iwe saturated but for now bado mapema sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadhi ya watu mnatumia lugha za kukatisha tamaa wengine, nnachoweza kuwashaur watu n tupende kujfunza kitu vzuri then u make your decision.

Kwa msaada wa kutaka kujfunza kuhusu Alliance In Motion (AIM) Global, nichek kwny 0684910695.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa walikuja MOSHI na Arusha wakanipigia simu kwamba wanaendesha workshop mahali nikaenda ila nilishangaa mnapofika wanaanza kujitambulisha kuwa kuna wanafunzi wa vyuo wamekuwa millionaires baada ya kujiunga nao. Nikauliza wakasema kujiunga ni sharti ulipe 560,000 alafu watakutumia bidhaa ndani ya wiki. Kibaya zaidi hawatoi receipt wala bank account na badala yake unampa MTU cash bila documents yeyote. Office hawana ila wanasema office yao IPO dar maeneo ya makumbusho. Nimekimbia ila simu zao utazikimbia maana kila SAA wanakupigia
 
Back
Top Bottom