Wanajamvi,
Kama mjuavyo Tanzania tunaishi kwa matukio, kuanzia kikombe cha babu, Deci, D9 Club, Mayai ya kware, Kilimo cha green house, Ufugaji wa Sungura na sasa Alliance Global in Motion.
Nimeleta hii mada kwa sababu kila mtu unayekutana naye sasa hivi mtaani atakueleza ni namna gani unaweza kuwa tajiri ndani ya mwaka mmoja kwa kujiingizia kitita kisichopungua million mia moja thelathini.
Nikiangalia maelezo ya wahusuka bado naona PYRAMID ndani yake. Kwani kwa kuanza unapaswa kutoa kiasi cha laki tano na zaidi, unapewa bidhaa, alafu unatafuta watu wawili ambao nao watajiunga kwa kiasi hicho hicho, hapo wewe ambaye ni memba mkuu unapata elfu 34 kama gawio toka kwa kila mwanachama.
Maelezo ni mengi na trend inaenda mpaka makundi 16, Swali wana jamvi hii kitu vipi? siyo deci nyingine hii? Wenye uelewa na hii kitu hepu leteni data hapa ili kama kunafaida watu wapige hela ila kama ni Deci 2 watu wachukuwe tahadhari.
Nawasilisha.
Kama mjuavyo Tanzania tunaishi kwa matukio, kuanzia kikombe cha babu, Deci, D9 Club, Mayai ya kware, Kilimo cha green house, Ufugaji wa Sungura na sasa Alliance Global in Motion.
Nimeleta hii mada kwa sababu kila mtu unayekutana naye sasa hivi mtaani atakueleza ni namna gani unaweza kuwa tajiri ndani ya mwaka mmoja kwa kujiingizia kitita kisichopungua million mia moja thelathini.
Nikiangalia maelezo ya wahusuka bado naona PYRAMID ndani yake. Kwani kwa kuanza unapaswa kutoa kiasi cha laki tano na zaidi, unapewa bidhaa, alafu unatafuta watu wawili ambao nao watajiunga kwa kiasi hicho hicho, hapo wewe ambaye ni memba mkuu unapata elfu 34 kama gawio toka kwa kila mwanachama.
Maelezo ni mengi na trend inaenda mpaka makundi 16, Swali wana jamvi hii kitu vipi? siyo deci nyingine hii? Wenye uelewa na hii kitu hepu leteni data hapa ili kama kunafaida watu wapige hela ila kama ni Deci 2 watu wachukuwe tahadhari.
Nawasilisha.