All White Party!

Rangi ya ukuta sio yenyewe kabisa
 
Watu wanajifanya wehu. Ikitokea wameugua wanataka kufa hapo wanamkumbuka Mungu kwa kasi sana, wakiwa wanadunda hata kumkumbuka hawajari kabisaaa.
Kama Mungu angekuwa hana huruma hii dunia ingekua ishamalizwa kwa gharika maana kama ilivyokuwa siku za Nuhu ndio ilivyo hata sasa
 


Well said mkuu
 
Hata wazazi wanao ruhusu watoto wao wavae hayo mavazi, wazazi nao wamechangia kuwaharibu watoto.
Wengi wa hawa walikosa malezi bora ya kujitambua na kutambua thamani yao.
Watu hawa hawajaelewa thamani yao na umuhimu wa Mungu katika maisha yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…