Watu wanajifanya wehu. Ikitokea wameugua wanataka kufa hapo wanamkumbuka Mungu kwa kasi sana, wakiwa wanadunda hata kumkumbuka hawajari kabisaaa.
Kama Mungu angekuwa hana huruma hii dunia ingekua ishamalizwa kwa gharika maana kama ilivyokuwa siku za Nuhu ndio ilivyo hata sasa