fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,917
- 24,590
Natumia dadavuzi mpakato mkuu...
Ngoja nikuambie kitu, katika www huwa kuna mitandao yenye kuweka habari kama kina Shigongo...
Yaani taarifa zake sio reliable kulingana na uzito wa habari yenyewe...
Hii habari yako hata ukiifuatilia na kutazama sources mbadala bado inaonekana ni hoax.
Ni namna ya kuwatishia watu kuhusu mpango wa illuminati na NWO na mark of the beast (hutaweza kuuza au kununua kama huna hiyo mark).
Nakubaliana nawe mkuu. It's just a hoax