Kwa kweli Alpha Blondy nilimpenda mwenyewe bila kufundishwa na mtu. Mwaka 1990 mzee wangu siku hiyo aliamua kutoka na mimi kwenye bar ya kwanza ya ghorofa mtaani kwetu, basi kidoeni kukawa na tape ya Alpha Blondy mwenyewe sitasahau, nilikuwa nakunywa fanta. Watoto tulioenda na washua wetu tulikuwa tunapewa godoro tunakaa mbele kabisa pengine ili tusione michepuko yao
Masada
Cocody rocky
Jerusalemu
Moja ya nyimbo ninazozikumbuka kwa harakaharaka.
Ca me fait si mal, Science Conscience...mbona hujazitaja hizi mkuu mi ndio nazipenda sanaaaa. Flash yangu kwenye gari nimezirudia zaidi ya mara kumi.
Rendezvouz niliipenda toka nikiwa mtoto
Peace in liberia hatare sn.. huyo jamaa anajua japo hatumii sn ngeli ila ni kwere
Come back Jesus,
Politique,
Masada,
Napenda sana pia
Yah nilikuwa nimesahau, Asante Mkuu..Peace in Liberia ndio jina la huo wimbo mkuu