Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,660
Jina la Kamili: Seydou Koné
Jina la kisanii: Alpha Blondy
Nchi: Ivory Coast
Alizaliwa :1 Januari 1953 ( miaka 62 kwasasa) Dimbokoro, Ivory Coast
Aina ya muziki : Raggae
Kazi yake : Muimbaji, Mtungaji
Miaka ya kazi:1982 - Mpaka leo
Alpha Blondy mara nyingi huimba kwa lugha ya KIDIOULA ambayo ndio lugha yake ya taifa huku akichanganya Kifaransa na Kiingereza , Lakini pia wakati mwingine huimba kwa Kiarabu au Kiyahudi. Mashairi yake yanamaanisha siasa kali yenye mwelekeo na uchangamfu.
MAISHA YA MWANZO:
Alpha ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto tisa. Alilelewa na bibi yake mzaa mama.
Mnamo mwaka 1962, Alpha Blondy alikwenda kukaa na baba yake aliyekuwa anaishi mjini Odienne, Ambapo alikaa kwa muda wa miaka kumi, Baadae akijiunga na shule ya Sainte Elisabeth high school, na kujishughulisha na makundi ya wanafunzi ya Ivory Coast. Hapo ndipo alipo unda bendi. Ingawaje, Upenzi huu uliathiri masomo yake na baadae Blondy alikufukuzwa shule kutokana na maudhulio mabovu shuleni.
Wazazi wake Alpha wakampleka mtoto wao aAplha kusomea lugha ya Kiingereza mjini Monrovia, mji mkuu wa nchi jirani ya Liberia mnamo mwaka 1973. Huko Alikaa kwa muda wa mwaka mmoja na mwezi mmoja kisha akahamia nchini Marekani kwa kuongozea taaluma yake zaidi.
MAISHA YAKE MAREKANI:
Mnamo mwaka 1973 Alpha amehamia mjini New York (Pia aliishi kidogo Texas), ni mahali alipomalizia chuo na aliegemea sana kwenye Kiingereza, Kwasabu toka mwanzo alikuwa anataka kuwa mwalimu wa lugha ya Kiingereza.
Alifanya kazi kwa juhudi zote,wakati mwingine hadi usiku,hadi kuna kipindi anakuwa mgonjwa. Akiwa New York alikutana na Marastafari kwa mara ya kwanza, Pia alikuwa na uwezo wa kuangalia matamasha ya wanamuziki wa kijamaica kama kina Burning Spear n.k. Wakati huo yeye alikuwa akirekodi nyimbo za kikristo lakini hakuthubutu kuacha kuandika nyimbo zake mwenyewe.
Kwa bahati alikuwa akidodosa sehemu mabalimbali za mjini New York na baade kurudi kidogo nchini Ivory Coast, Ambako alipata matatizo saana mpaka alivyokuja kukutana rafiki yake waliokuwa wote toka utoto, Fulgence Kassi, Ambaye baadae alikuja kuwa mtayarishaji maarufu wa vipindi vya televisheni. Hapo ndipo alipoanza kuonekana kama kazi yake kweli ni uimbaji, na kutumia jina la 'Alpha Blondy'.
IMANI YAKE:
Alpha Blondy alizaliwa na Mama Mkristu pamoja na Baba Muislam,ila alilelewa na Bibi yake ambaye alimfundisha kumpenda kila mtu.Alpha Blondy aliheshimu dini zote,na kiimani alikuwa na mafunzo ya dini zote mbili,na hata ukiskiliza wimbo wake wa "God iz One" au pia "Jerusalem" ambao alikuwa anazungumzia umoja kati ya dini zote mnamo mwaka 1986.
NYIMBO MAARUFU:
Nyimbo ya kwanza kumpa mafanikio ilikuwa Brigadier Sabare. ni moja kati ya nyimbo zenye ujumbe:
*Jah Glory - Hii aliimba juu ya upigaji vita umaskini.
*Apartheid is Nazism
*Brigadier Sabare - Nyimbo ilihusu ukatili wa maaskari.
*Cocody Rock - Hii ilikuja kuwa ndio kama nyimbo yake ya taifa kila mtu anajua kuiimba.
*Guerre Civile - Hii ilihusu masuala ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.
*Jerusalem- Hii ilataka amani nchini israel. Nyimbo inaanza na maneno yanatumiwa katika sara za kiyahudi, Hivyo aliaza kiyahudi.
*Journalistes en danger - Hii ilihusu mauaji ya Norbert Zongo aliyekuwa mchapishaji na mhriri wa gazeti la Independent la nchini Burkina Faso.
*Politiqui - Hii ilihusu uraia.
*Yitzhak Rabin -Hii iliandikwa mwaka 1995 kutokana na mauaji ya Waziri Mkuu wa Israel Yitzhak Rabin.Huu wimbo ilikuwa ni kama dedication
*Sweet Fanta Diallo
*Téré
*Blesser
*Rasta Poué
*Rendez vous
*Mystic Night Move
ALBUM ALIZOTOA:
1982: Jah Glory
1984: Cocody Rock!!!
1985: Apartheid Is Nazism
1986: Jerusalem (Alpha Blondy album)|Jerusalem (Akiwa na Wailers Band|The Wailers)
1987: Revolution (Alpha Blondy album)|Revolution
1989: The Prophets (album)|The Prophets
1992: Masada (album)|Masada
1993: SOS Guerres Tribales
1993: Live Au Zénith (Paris)
1994: Dieu
1996: Grand Bassam Zion Rock
1997: Best Of (Alpha Blondy album)|Best Of
1998: Yitzhak Rabin (album)|Yitzhak Rabin
1999: Elohim (Alpha Blondy album)|Elohim
2001: Blondy Live Paris Bercy
2002: Merci
2005: "Akwaba"
Hii ni historia kwa ufupi ya Seydou Kone a.k.a Alpha Blondy.Kwa wale wapenzi wa Reggae kama mimi nadhani mtakuwa mmemjua japo kwa ufupi.Next time ntaleta kuhusu malegendary wengine wa aina hii ya mziki.
Analyse.
Jina la kisanii: Alpha Blondy
Nchi: Ivory Coast
Alizaliwa :1 Januari 1953 ( miaka 62 kwasasa) Dimbokoro, Ivory Coast
Aina ya muziki : Raggae
Kazi yake : Muimbaji, Mtungaji
Miaka ya kazi:1982 - Mpaka leo
Alpha Blondy mara nyingi huimba kwa lugha ya KIDIOULA ambayo ndio lugha yake ya taifa huku akichanganya Kifaransa na Kiingereza , Lakini pia wakati mwingine huimba kwa Kiarabu au Kiyahudi. Mashairi yake yanamaanisha siasa kali yenye mwelekeo na uchangamfu.
MAISHA YA MWANZO:
Alpha ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto tisa. Alilelewa na bibi yake mzaa mama.
Mnamo mwaka 1962, Alpha Blondy alikwenda kukaa na baba yake aliyekuwa anaishi mjini Odienne, Ambapo alikaa kwa muda wa miaka kumi, Baadae akijiunga na shule ya Sainte Elisabeth high school, na kujishughulisha na makundi ya wanafunzi ya Ivory Coast. Hapo ndipo alipo unda bendi. Ingawaje, Upenzi huu uliathiri masomo yake na baadae Blondy alikufukuzwa shule kutokana na maudhulio mabovu shuleni.
Wazazi wake Alpha wakampleka mtoto wao aAplha kusomea lugha ya Kiingereza mjini Monrovia, mji mkuu wa nchi jirani ya Liberia mnamo mwaka 1973. Huko Alikaa kwa muda wa mwaka mmoja na mwezi mmoja kisha akahamia nchini Marekani kwa kuongozea taaluma yake zaidi.
MAISHA YAKE MAREKANI:
Mnamo mwaka 1973 Alpha amehamia mjini New York (Pia aliishi kidogo Texas), ni mahali alipomalizia chuo na aliegemea sana kwenye Kiingereza, Kwasabu toka mwanzo alikuwa anataka kuwa mwalimu wa lugha ya Kiingereza.
Alifanya kazi kwa juhudi zote,wakati mwingine hadi usiku,hadi kuna kipindi anakuwa mgonjwa. Akiwa New York alikutana na Marastafari kwa mara ya kwanza, Pia alikuwa na uwezo wa kuangalia matamasha ya wanamuziki wa kijamaica kama kina Burning Spear n.k. Wakati huo yeye alikuwa akirekodi nyimbo za kikristo lakini hakuthubutu kuacha kuandika nyimbo zake mwenyewe.
Kwa bahati alikuwa akidodosa sehemu mabalimbali za mjini New York na baade kurudi kidogo nchini Ivory Coast, Ambako alipata matatizo saana mpaka alivyokuja kukutana rafiki yake waliokuwa wote toka utoto, Fulgence Kassi, Ambaye baadae alikuja kuwa mtayarishaji maarufu wa vipindi vya televisheni. Hapo ndipo alipoanza kuonekana kama kazi yake kweli ni uimbaji, na kutumia jina la 'Alpha Blondy'.
IMANI YAKE:
Alpha Blondy alizaliwa na Mama Mkristu pamoja na Baba Muislam,ila alilelewa na Bibi yake ambaye alimfundisha kumpenda kila mtu.Alpha Blondy aliheshimu dini zote,na kiimani alikuwa na mafunzo ya dini zote mbili,na hata ukiskiliza wimbo wake wa "God iz One" au pia "Jerusalem" ambao alikuwa anazungumzia umoja kati ya dini zote mnamo mwaka 1986.
NYIMBO MAARUFU:
Nyimbo ya kwanza kumpa mafanikio ilikuwa Brigadier Sabare. ni moja kati ya nyimbo zenye ujumbe:
*Jah Glory - Hii aliimba juu ya upigaji vita umaskini.
*Apartheid is Nazism
*Brigadier Sabare - Nyimbo ilihusu ukatili wa maaskari.
*Cocody Rock - Hii ilikuja kuwa ndio kama nyimbo yake ya taifa kila mtu anajua kuiimba.
*Guerre Civile - Hii ilihusu masuala ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.
*Jerusalem- Hii ilataka amani nchini israel. Nyimbo inaanza na maneno yanatumiwa katika sara za kiyahudi, Hivyo aliaza kiyahudi.
*Journalistes en danger - Hii ilihusu mauaji ya Norbert Zongo aliyekuwa mchapishaji na mhriri wa gazeti la Independent la nchini Burkina Faso.
*Politiqui - Hii ilihusu uraia.
*Yitzhak Rabin -Hii iliandikwa mwaka 1995 kutokana na mauaji ya Waziri Mkuu wa Israel Yitzhak Rabin.Huu wimbo ilikuwa ni kama dedication
*Sweet Fanta Diallo
*Téré
*Blesser
*Rasta Poué
*Rendez vous
*Mystic Night Move
ALBUM ALIZOTOA:
1982: Jah Glory
1984: Cocody Rock!!!
1985: Apartheid Is Nazism
1986: Jerusalem (Alpha Blondy album)|Jerusalem (Akiwa na Wailers Band|The Wailers)
1987: Revolution (Alpha Blondy album)|Revolution
1989: The Prophets (album)|The Prophets
1992: Masada (album)|Masada
1993: SOS Guerres Tribales
1993: Live Au Zénith (Paris)
1994: Dieu
1996: Grand Bassam Zion Rock
1997: Best Of (Alpha Blondy album)|Best Of
1998: Yitzhak Rabin (album)|Yitzhak Rabin
1999: Elohim (Alpha Blondy album)|Elohim
2001: Blondy Live Paris Bercy
2002: Merci
2005: "Akwaba"
Hii ni historia kwa ufupi ya Seydou Kone a.k.a Alpha Blondy.Kwa wale wapenzi wa Reggae kama mimi nadhani mtakuwa mmemjua japo kwa ufupi.Next time ntaleta kuhusu malegendary wengine wa aina hii ya mziki.
Analyse.