Aljazeera release the full list of countriestries with corona virus and the numbers of people affected

It takes over a month for incubation period to commence. After the end of this month we will feel the real magnitude of this pandemic.

Though data faking is surely happening as this disease is more of biological and bioengineering weapon.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you Vida.
You are much appreciated.
 
Tanzania magonjwa yote ya kuambukiza yanapata kwanza kibali au viza kutoka kwa waziri na mkuu wa nchi. Hawa watu wako makini sana kutoa vibali hivyo.
 
Hichi kurusi kikiingia hapa bongo mbona watu watapata likizo zisizo za lazima aisee. Maana hatutaruhusiwa kuchangamana
 
Umesambaa Kwa Kasi Sana
Tanzania Tahadhali Ni Muhimu Sana
China Huu Ugonjwa Umeshakwenda Ulimwenguni
 
Kwanini Italy ina wagonjwa wengi kuliko hata nchi jirani na China yenyewe. Na kwanini wagonjwa wengi duniani wameambukizwa na Italy ukiachana na chanzo cha China.
Hiyo meli au vyombo vya usafiri kwa ujumla ni chanzo kikubwa kwa kusambaza maana hewa hiyohiyo mnapambana nayo.
Asili ya corona ni Italy hilo ni jina la mji huko.
 
Asili ya corona ni Italy hilo ni jina la mji huko.
Corona ni kuendana na neno Crown. Imeitwa hivo kutokana na inavyofanana kwa umbo. Ni kama vvibro comma vinaitwa comma kwa sababu umbo lake liko kama nukta ya mkato. Huo mji wa Italy unaoitwa hilo jina siujui labda ulete uthibitisho na coordinates ukiweza.
Corona ambao ni mji, uko California.
 
Back
Top Bottom