ericmarimbo
Member
- Sep 30, 2011
- 91
- 37
Inaudhi tena inaleta kechefuchefu, Bunge lilitumia muda mrefu sana kutunga kanuni hadi baadhi yetu tukawa tunalalamika. Inashangaza leo kabla ya hizo kanuni kabla hazijaanza kutumika kamati ya uongozi inataka kufanya marekebisho jambo ambalo halikukubalika na Wabunge wa upinzani na wengine wenye uchungu na hii nchi.
CCM tubuni aliyosema kakobe naanza kuamini kwamba hata waganga na mapepo yenu hayatasaidia.
CCM tubuni aliyosema kakobe naanza kuamini kwamba hata waganga na mapepo yenu hayatasaidia.