Capastor
Senior Member
- Jul 15, 2019
- 115
- 74
mm naona hyo barua ilkua ina lengo baya la kutaka kuwapeleleza walim il wawakamate wakileta ubishHuyo DED naye hana kazi nyingine za kufanya au? Sasa kama hilo agizo amekiri mwenyewe kulitoa, nongwa iko wapi? Si alitoa agizo hilo kwa nia njema? Au hiyo barua ilikua ni ya siri kiasi kwamba ingehatarisha usalama wa nchi kwa kusambazwa kwake kwenye hiyo mitandao ya kijamii!
lakn pia kama ikua taarfa ambayo ifke kwa walim hapakua na tatzo la kusema iwe cr maan walim lazma wangeambia kufuta ma group yao
au walitaka wawfanyie kwa cr bila ya wenyew kujua !!!
kwa kifupi tu Apo DED amekwama na kutaka kutafta kik kwa kua tupo ktka nch ya kiki