Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

Hamna kitu huyu alishajichokea kaka, hayo maneno ni ya kisiasa na ni coincindence tu hata asingesema hiki chuma chakavu kingekata moto tu siku ilifika, wanaambiwa wapumzike wakati bado wana nguvu wanajifanya wao ni special sana kwamba hamna anayeweza kuendesha nchi wasipokuwepo. So akaendeshe firdaus pia akamkute jiwe ni kiranja kule alisema mwenyewe
Mbona Tundu Lissu yupo gerezani kwa maneno ya kisiasa mkuu?
 
Watamsitafisha kwa lazima kupitia sanduku la kura. Maoni yake yaheshimiwe
 
WhatsApp Image 2026-03-25 at 2.38.48 PM.jpeg
 
Neno "kumuondoa" ni nahau na tayari wahalifu wametimiza azma yao ovu ya kumuua Lukuvi. Lazima wakamatwe na kufunguliwa mashtaka ya kuua kwa kukusudia. Adhabu kwa muuaji ni kunyongwa hadi kufa; no shorcut.
Hayo maneno ni mimi nimemuwekea mdomoni mkuu? Mbona Tundu Lissu alisema maneno kama hayo na sasa yupo gerezani kwa uhaini? Je, matamshi aliyotamka huyu jamaa yanatofautianaje na uhaini?
Neno "kumuondoa" ni nahau na tayari wahalifu wametimiza azma yao ovu ya kumuua Lukuvi. Lazima wakamatwe na kufunguliwa mashtaka ya kuua kwa kukusudia. Adhabu kwa muuaji ni kunyongwa hadi kufa; no shorcut.
Mnaanza kusingizia watu wengine kwa sababu viongozi wa serikali ya Tanzania huwa hawafi.......Acheni ujinga wenu, acheni upumbavu wenu. Huyo ameumwa moyo mambo yakaharibika.....Angekuwa amepigwa rungu akafa, au amepewa sumu na ikadhihirika ni kweli, hapo tungesema watafutwe watu na wakamatwe. Bado mpo kwenye ujima.
 
Habari wanabodi

Hebu msikilize huyu mtu anavyotamka hadharani kumdhuru waziri William Lukuvi. Inabidi akamatwe na kuhojiwa vizuri kwanini aliamua kumuondoa mzee wa watu kwa nguvu bila kufuata utaratibu.

Sitaki kukuchosha sana. Hebu msikilize wewe mwenyewe mkuu.

View attachment 3562907

MAONI YANGU
Awali ya yote napenda kutangaza maslahi kwamba mimi ni mkazi wa jimbo la Isimani na mpigakura wa marehemu Lukuvi.

Huyu kibonge ambaye ana mwili mkubwa kama tembo lakini akili ndogo kama mbegu ya haradali, lazima akamatwe na kufunguliwa mashtaka kwa kusababisha mauaji ya mbunge wetu pendwa.

Asipokamatwa, nitawahamasisha wanaIsimani tuandamane hadi ikulu kudai uchunguzi huru wa kifo cha mbunge wetu. Hatutakubali mbunge wetu afe kikondoo wakati waliotangaza kumstaafisha (kumuua) wapo mtaani wanaendelea kula ugali bila kuguswa.
Ingawa maneno hu uumba, lakini mtu unakuwa mbunge na waziri kwa muda was miaka 30 huwezi ukakosa changamoto ya magonjwa yasiyoambukizwa kweli? Si rahisi kutowapta wabunge waliohudumu zaidi ya miaka ishirini bila kuwa na changamoto ya kiafya kama kisukari,moyo,nk;kwa sababu lifestyle zinazotokana na kazi hizo
 
Ingawa maneno hu uumba, lakini mtu unakuwa mbunge na waziri kwa muda was miaka 30 huwezi ukakosa changamoto ya magonjwa yasiyoambukizwa kweli? Si rahisi kutowapta wabunge waliohudumu zaidi ya miaka ishirini bila kuwa na changamoto ya kiafya kama kisukari,moyo,nk;kwa sababu lifestyle zinazotokana na kazi hizo
Ongezea na kansa ya kibovu na utumbo mpana.
 
Ingawa maneno hu uumba, lakini mtu unakuwa mbunge na waziri kwa muda was miaka 30 huwezi ukakosa changamoto ya magonjwa yasiyoambukizwa kweli? Si rahisi kutowapta wabunge waliohudumu zaidi ya miaka ishirini bila kuwa na changamoto ya kiafya kama kisukari,moyo,nk;kwa sababu lifestyle zinazotokana na kazi hizo
Mkuu, Lukuvi amefariki akiwa na miaka 70 tu na kuna watu akina Mkuchika na Makamba wana zaidi ya miaka 80 lakini bado wanadunda. Huyu jamaa "aliyemstaafisha" Lukuvi lazima ashughulikiwe ipasavyo.
 
Mbuzi wa bwana heri amekula mahindi ya bwana heri.....

Ingekuwa maneno hayo yametamkwa na kiongozi wa CDM, basi naye muda huu angekuwa ana kesi ya uhaini pamoja Lissu huko Magereza

Wanasiasa vijana, wajitahidi kuwa makini na uchaguzi wa maneno na kauli zao, tunaishi kwenye Dunia ya kidijitali, maneno yao yanaweza kutumika wakati mwingine kuja kuwaondoa kwenye reli ama kuwamaliza kisiasa
 
Kwani aliposema ''Tutamstaafisha kwa nguvu'' alimaanisha nguvu zipi?

Kwanini wewe umetafsiri kauli hiyo ni ya kutishia kuua?
Kisheria hapo hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuhusu tishio la mauaji,
Huyo jamaa hata akihojiwa atatoa tafsiri yake tofauti na ulivyo tafsiri wewe.
Kwani kwa tundulissu wanahangaika na nini?

Yeye nae si alisema maneno tu.
 
Back
Top Bottom