tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,832
- 25,138
Habari wanabodi
Hebu msikilize huyu mtu anavyotamka hadharani kumdhuru waziri William Lukuvi. Inabidi akamatwe na kuhojiwa vizuri kwanini aliamua kumuondoa mzee wa watu kwa nguvu bila kufuata utaratibu.
Sitaki kukuchosha sana. Hebu msikilize wewe mwenyewe mkuu.
Hebu msikilize huyu mtu anavyotamka hadharani kumdhuru waziri William Lukuvi. Inabidi akamatwe na kuhojiwa vizuri kwanini aliamua kumuondoa mzee wa watu kwa nguvu bila kufuata utaratibu.
Sitaki kukuchosha sana. Hebu msikilize wewe mwenyewe mkuu.
MAONI YANGU
Awali ya yote napenda kutangaza maslahi kwamba mimi ni mkazi wa jimbo la Isimani na mpigakura wa marehemu Lukuvi.
Huyu kibonge ambaye ana mwili mkubwa kama tembo lakini akili ndogo kama mbegu ya haradali, lazima akamatwe na kufunguliwa mashtaka kwa kusababisha mauaji ya mbunge wetu pendwa.
Asipokamatwa, nitawahamasisha wanaIsimani tuandamane hadi ikulu kudai uchunguzi huru wa kifo cha mbunge wetu. Hatutakubali mbunge wetu afe kikondoo wakati waliotangaza kumstaafisha (kumuua) wapo mtaani wanaendelea kula ugali bila kuguswa.
Awali ya yote napenda kutangaza maslahi kwamba mimi ni mkazi wa jimbo la Isimani na mpigakura wa marehemu Lukuvi.
Huyu kibonge ambaye ana mwili mkubwa kama tembo lakini akili ndogo kama mbegu ya haradali, lazima akamatwe na kufunguliwa mashtaka kwa kusababisha mauaji ya mbunge wetu pendwa.
Asipokamatwa, nitawahamasisha wanaIsimani tuandamane hadi ikulu kudai uchunguzi huru wa kifo cha mbunge wetu. Hatutakubali mbunge wetu afe kikondoo wakati waliotangaza kumstaafisha (kumuua) wapo mtaani wanaendelea kula ugali bila kuguswa.