Aliyetimuliwa kanisani kisa vazi asema alionewa na kiatu chake cha "uingereza" kiriharibiwa!!!!

Yaani unampa mwenzako ili wewe ubaki uchi au wazi, maana ulilazimshwa tu kufunika ukapata upenyo, angekupiga kabisa sio kukusukuma tu
 
Sisi waislam swala la mavazi msikini ni non negotiable liko wazi, ukitaka kuvaa uchi nenda huko kwa wanaotunga sheria na kuzipitia time to time,, quran haipitiwi ni kusoma na kuelewa kama hutaki basi sio mwislam ,, very clear, ni ajabu na kweli mnampenda mama yetu mariam mama wa Yesu ila mavazi yake ya hijab hamyataki
 

Tell us, where do you worship?
 
Sawa mkuu mimi nilidhani nawewe upo jf , kumbe I was wrong . Hata hivyo nashangaa umetuonaje vijiweni kama nawewe haupo. Nadhani wewe ni bingwa wa mistari hivyo ni ngumu kushindana na wewe. Asante sana kwa mchango wako.
 


Mkuu umenena vyema alimvumilia sana ilitakiwa afanyiwe kitu ambacho kingekuwa mfano kwa waumini na watembea uchi wengine,kanisa kama kanisa ni sem yakuabudu nakufanya toba sio naingia Kanisani kumuomba Mungu then mtu anakuja na mavazi ya makwazo anakaa mbele yako na bahati mbaya binadam tulivyoumbwa labda ulikuwa ktk tafakari,umenyanyua uso ukimuangalia aliye mbele yako ghafla unajikuta umeanguka tena ktk dhambi.ifike wakati dada zetu watambue,kwa dhati kabisa kwamba Kanisni ni sehem Takatifu na'si sehemu yakuonyeshana mabega au misuli ya miguu.wanatangaziwa nakutangaziwa lakini wapi!!!!nakumbuka kuna kipindi nasali Parokia ya Magomeni palikuwaga na utaratibu,mtu akija ameva min skirt/suruali anakabidhiwa kitenge na akija mabega wazi anakabidhiwa sijui ilikuwa taulo sikumbuki vizuri,baada ya mwezi Kanisani pakawa na heshma yake,me nadhan utaratibu huu ungeenezwa ktk Makanisa yote leo mambo yakuambiana sijui umenivunjia kiatu changu nilichokinunua Uk yasingekuwepo,huyo angekabidhiwa tuu taulo lake afunike mabega,hivyo ingekuwa juu yake akabadilishe nguo kwao,atoke akakae nje au ajifunike taulo akiwa ktk Ibada.
 
Yaani unampa mwenzako ili wewe ubaki uchi au wazi, maana ulilazimshwa tu kufunika ukapata upenyo, angekupiga kabisa sio kukusukuma tu

Hahahahaa!!mkuu huyo dada nahisi ana upungufu wakinga inayofanana na jina lako ktk akili yake.."FIKIRI KWANZA",akili yake inaonekana haina uwezo wakufikiria vizuri yaani ameona mwenzake ametolewa kwa kukosea kanuni anamsaidia then anataka avunje yy kanuni aliyoshaadhibiwa nayo mwenzake!!haingii akilini labda mtu ujitoe ufaham kwanza ndo ufanye hivyo,ajabu sana haya mambo
 
Uyo ndio yale madhehebu ya Magari,kazi yao ni kutangatanga tu hawajui kwa nini wanaishi,hana lolote analojua khs RC wala bible..

Absolutely, amepigiliwa ujinga na vijidhehebu waganga njaa anakuja kutapika hapa bila kujuwa anachoandika. Wewe unapopretend kuokoka or whatever haalafu ukasema uongo ulio dhahiri bila shaka unadhihirisha kuwa unaongozwa na pepo mchafu wala roho mtakatifu hayupo ndani yako. Unaponiambia mimi Mkatoliki naabudu sanamu wakati sijawahi kufanya hivyo, ama hujui maana ya kuabudu na ulokole wako feki, au pepo linalokuongoza limekudanganya hivyo.
 

I have come to conquer not to bow!
 
Hao wanaume wanaotamani mabega nao ni wazima?
At least sasa ngoma droo. Sio misikiti peke yake inayowabana wanawake kujisitiri maumbo yao..:rolleyez:
 
Hao wanaume wanaotamani mabega nao ni wazima?
At least sasa ngoma droo. Sio misikiti peke yake inayowabana wanawake kujisitiri maumbo yao..:rolleyez:

Mie nadhani nikujibu tu kwa kifupi kuwa ni wazima, tena sana.
 

Pokea like.. ..
 
Hao wanaume wanaotamani mabega nao ni wazima?
At least sasa ngoma droo. Sio misikiti peke yake inayowabana wanawake kujisitiri maumbo yao..:rolleyez:

Msikitini gani unawabana wanawake actually kwetu sisi waislam mwanamke anaruhusiwa ku pray msikitini but inakuwa vizuri zaidi na malipo wake yanakuwa makubwa zaidi atakapo sali nyumbani kwake..
 
duh!!!,kwa hiyo kama hatukuwa tunavaa nguo unavyoona wewe ni vema kuendelea kukaa uchi?,your arguments are too low bro,u better piga ki100 tu kama huna cha kuchangia.

The point hapa is that we should not misquote the past to mistreat women. since we only copied how to dress we should not be so excessive on limiting the copying. The disgusting issue here is that it only applies to women so that men can feel less horny? or whats the logic? If the matter is so important let it go into the constitution so that women know that they are breaking the law when they show there knees or whatever it is that you don't want women to show.
 
Wewe na kizazi chako ndio mliokuwa mnakaa uchi,

Weka hapa kabila lako nikupostie picha mlivyo kuwa mnavaa kabla ya mkoloni na mwarabu kuja kuwasitiri. Hata adamu na eva baada ya ku do walicho ki do wali realize kwamba wako uchi lakini unfortunately miafrika haikujua kuwa iko uchi. sasa hivi wamekuwa eti ndio mods wa kuvaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…