Aliyetayari tufanye kazi

Aliyetayari tufanye kazi

McMahoon

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2017
Posts
1,360
Reaction score
1,645
Habari!
Km ww ni fundi computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane au unataka ujifunze masuala ya computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane tuunganishe nguvu tukodi fremu kwa ajili ya kufanyia kazi. (Kwa watu wanaotaka kujifunza, hakuna gharama zitakazotozwa baada ya kupata ofisi)
Niko Dar es salaam
Km upo interested ni pm
Asanteni
 
mi nataka ila pesa kwa sasa sina nahitaji sana
 
Habari!
Km ww ni fundi computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane au unataka ujifunze masuala ya computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane tuunganishe nguvu tukodi fremu kwa ajili ya kufanyia kazi. (Kwa watu wanaotaka kujifunza, hakuna gharama zitakazotozwa baada ya kupata ofisi)
Niko Dar es salaam
Km upo interested ni pm
Asanteni
Mkuu mi nahitaji
 
Habari!
Km ww ni fundi computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane au unataka ujifunze masuala ya computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane tuunganishe nguvu tukodi fremu kwa ajili ya kufanyia kazi. (Kwa watu wanaotaka kujifunza, hakuna gharama zitakazotozwa baada ya kupata ofisi)
Niko Dar es salaam
Km upo interested ni pm
Asanteni
Npo tayari
 
Habari!
Km ww ni fundi computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane au unataka ujifunze masuala ya computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane tuunganishe nguvu tukodi fremu kwa ajili ya kufanyia kazi. (Kwa watu wanaotaka kujifunza, hakuna gharama zitakazotozwa baada ya kupata ofisi)
Niko Dar es salaam
Km upo interested ni pm
Asanteni
Nipo interested please naomba namba yako na upo dar seven gani
 
Mkuu mimi ni fundi simu upande wa software lkn vifaa vyangu bado ni haba ssna km unaweza nishika mkono twaweza fanya kazi kiongozi.
ukiwa tyr mkuu nikupm
 
Habari!
Km ww ni fundi computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane au unataka ujifunze masuala ya computer, simu au vyote kwa pamoja tuwasiliane tuunganishe nguvu tukodi fremu kwa ajili ya kufanyia kazi. (Kwa watu wanaotaka kujifunza, hakuna gharama zitakazotozwa baada ya kupata ofisi)
Niko Dar es salaam
Km upo interested ni pm
Asanteni
0675933114
 
Unaishi Dar sehem gani? Na je ulishawahi kufanya hiyo kazi?
 
Back
Top Bottom