Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 60,940
- 124,049
Kama Nyie Mnaangalia Vigezo Na Masharti Nasiye Hivyo Hivyo Huna Kazi Au Hufanyi Biashara Kaa Pembeni
Hii ni Id yako pia?
Kama Nyie Mnaangalia Vigezo Na Masharti Nasiye Hivyo Hivyo Huna Kazi Au Hufanyi Biashara Kaa Pembeni
Mh. Kama unaita mitumbani vile?
We vipi? Nimekuomba mawazo ya biashara? Pita hivi....
Bibie Mbona Unawaka Kulikoni Na Sikukuu Yote Hii
Hapana, usifikirie tofauti na uhalisia.Aliyetayari kwa kuolewa atakuwa amenielewa.Sorry kama nimekukwaza
Sio hivyo mkuu...kuna watu huwa wanapenda kuingilia mambo yasiyowahusu
Kumbe wa jana tu?
Hizi zitakuwa za sikukuu tu, zimejaa kiunoni.
Pole mkuu.
Nilikuwa mfatiliaji tu wa thread kwa miaka mitatu ila nilipokuwa na uhitaji wa mke ndo nikaamua nijiunge rasmi, kwani naamini jf kunaweza kukanipa mke bora, kwani kupitia humu watu wanajifunza mambo mengi kuhusu maisha.Hiyo ndo imani yangu kwa jf
Okay mkuu wangu, kila la heri.
sio kweli Jipu au niseme sio wanawake wote,nafanya nzuri Alhamdulillah namsaidia mumewangu bila kujali yeye anayo au laa na wallah sisemi kwanini mie ndio nitoe pesa za matumizi ya nyumba au nitoe school fees ya watoto,ni mumewangu nirafiki yangu na ni baba wa watoto wangu haniulizi unapata kiasi gani mshahara wala hanipi orders, nna wafanya kazi wa3 lakini chakula cha mumewangu napika mwenyewe chumbani kwangu nguo za mume wangu za ndani napiga mwenye pasi, chakula cha kazini napika mwenyewe nikipata time nakwenda kazini kwake tunarudi pamoja nyumbani, usiamini kua eti mwanamke akiwa kasoma anakua jeuri hao ni wale wasiokua na malezi na ulimbukeni.........Wanawake Waliosoma Sana Hawajui Upendo Wala Maisha Ya Ndoa Yakoje Muda Wote Wanajiona Wako Sawa Ndani Ya Nyumba Hivyo Kunakuwa Heshimaless
sio kweli Jipu au niseme sio wanawake wote,nafanya nzuri Alhamdulillah namsaidia mumewangu bila kujali yeye anayo au laa na wallah sisemi kwanini mie ndio nitoe pesa za matumizi ya nyumba au nitoe school fees ya watoto,ni mumewangu nirafiki yangu na ni baba wa watoto wangu haniulizi unapata kiasi gani mshahara wala hanipi orders, nna wafanya kazi wa3 lakini chakula cha mumewangu napika mwenyewe chumbani kwangu nguo za mume wangu za ndani napiga mwenye pasi, chakula cha kazini napika mwenyewe nikipata time nakwenda kazini kwake tunarudi pamoja nyumbani, usiamini kua eti mwanamke akiwa kasoma anakua jeuri hao ni wale wasiokua na malezi na ulimbukeni.........
Inshallah utampata.......Dah umenifanya nitamani wewe ndio ungekuwa mke wangu, mana dunia ya leo kumpata wa aina yako ni bahati sana, ila nina imani ipo ckuntampata mwenye vigezo nilivyoona vitakuwa afadhali kwangu
ooh mkarimu, cjui mpole mara mcheshi, we mwenyewe una sifa hizo? awe na biashara au mfanyakazi eti ahahaha mi naweza hayo mengine yooote ila suala la biashara nlonayo haikuhusu ntaiacha kwetu kwako ntakuja na nguo nlovaa tu!!!!!!!!
Hivi wasio na heshima, ukarimu na wasio wapole wanajijua? Nawaza tu....
Wanawake Waliosoma Sana Hawajui Upendo Wala Maisha Ya Ndoa Yakoje Muda Wote Wanajiona Wako Sawa Ndani Ya Nyumba Hivyo Kunakuwa Heshimaless
Si wote ni wengi