Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,199
- 37,526
- Thread starter
- #61
Haaa haaa kwahiyo Chungu kikivunjwa mwanae ataondoka ?????.
Monaban ametoa chozi, walimuhakikishia yeye aongee vizuri na watu, Lodi Lofa anakuja kumalizia kwa mkono, jumapili ucku wamekesha ccm mkoa wanaimba ccm mbele kwa mbele, wakijua ya Kwa Kafulila yanatokea Arusha maana Lodi Lofa alisema Atatangazwa Monaban haijalishi kapata kura ngapi, alipo ona sura za watu wa chuga na walivyojazana pale njiro ucku wa manane kulinda kura Lodi lofa aliondoka bila kuaga Monabana kusikia lema katanfazwa chozi likadondoka hamuoni lodi lofa wa mzee wa bao la mkono, hasira anamalizia kwenye vyungu, imekula kwake mpaka mwanae amekula hela ya babake.