miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
uwamuzi mzuri kabisaHakuna namna nimeshaiweka nyumba yangu na kigari changu mkweche sokoni nitumbue raha kabla dhahama haijanifika.
uwamuzi mzuri kabisaHakuna namna nimeshaiweka nyumba yangu na kigari changu mkweche sokoni nitumbue raha kabla dhahama haijanifika.
jiandaeni kwa vilio aiseeNi bwana moyo wa uban wa hapa Arusha tehe tehe
Anamsema Mgombea urais, lakini anajifanya kusema ni mgombea Ubungembona unatuficha ni wapi huko.
kama ni arusha alikosea angewachinjia mbuzi na pombe wangempa kura lakini hela ya maendeleo hawajui zaidi ya pombe
Hii itakuwa inawahusu Moshi mjini
Kuvunja Chungu ni Ibada ya matambiko ya kimila ya jamii nyingi za kiAfrika zikilenga kutanzua tatizo au kulipiza kisasi bada ya kufanywa jambo/mambo ya uonevu.
Aliwapa wangapi? Kama aliwapa watu 2,000 na aliyeshinda akapata kura 60,000 alitegemea hizo kura 2000 ziumuke kwenye mabox...basi ngoja tusubiri tuone crew ikipukutika...pasua Baba! Pasuaaa...jipu!..aah samahan pasua chungu!
Idadi ya watu waliopata mgao wa unga na fedha taslimu hailingani na kura alizopata.
Mkuu nimekupata lakini inawezekana alikuwa anategemea lile bao la mkono,ci unawajua na uliona walivyo tuumiza katika uraisi?.
Wachaga/watu wa Arusha huwawezi, mlimuweza tu Yule wa geita ila wachaga wenyewe ni ma mafia
Preta atusaidie akupata kiroba cha unga kweli maana nasikia wamama ndio waliwezeshwa zaidi.Mungu apendi rushwa hivyo akivunja hiyo chungu inaweza mrudia yeye,bora apoe na kuanza maisha upya,hila mbona nasikia huyo XYZ alienda kufungua kesi ya kupinga matokeo inasememekana kuna gari ilikuwa na kura ikatoroshwa fasta maajabu haya zuga zuga tu hiyo,imekula kwakee kwisha kwisha kwisha kabisa.