je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,090
- 4,060
Tangu internet imeachiwa sijapata hisia za mwanamke kabisa yani Kila nikiona hizo videos mtandaoni watu wamekufa kama mbuzi yan
Sikudhani kama ingefika siku watanzania tukafanyiana vitendo vya kinyama kiasi hiki.?
Unaua tu hata kama umetumwa lakin pia askari muwe mnatumia hata akili za kawaida basi
Kwahiyo mkipewa tu amri piga huyo unapiga kama zezeta
Nimeumia mno. Nafikiria kudhani kuwa mh.alifanyiwa figusu ili achafuke kimataifa ,huenda kulikuwa na mpango mkakati wa kampa stress kama hizi ili a give up na kukaa pembeni kwa lazima
Kwa mana watu walikuwa wanauliwa bila sababu yan kuna gari maalumu zilikuwa zinapita na kupiga watu Risasi tena wala hawapo katika maandamano ni kuwa tu fujo zimeanza watu wanafunga biashara zao basi wao wanakulenga kwa kusudi tu.
Kama huku kwetu kuna gari ya polisi ilikuwa kazi yao ni kuua tu hata kama unafanya shughuli zako.
Ndio maana nasema huu ulikuwa mpango wa watu fulani kumchonganisha mh. Namba 1 na wananchi na umefanikiwa kwa 101.%
Mana mpaka sasa lawama zote zinapelekwa kwake na wakati yeye alikuwa ni mgombea kama wagombea wengine
Mheshima alipakwa mavi mheshimiwa alipakwa matope ili anuke Kila mahali
Waasisi wachama walitukosea watanzania kwa kuweka sera zao na maslahi yao tangia miaka ya 60 huko ila Athari yake tunaipata Leo
Kingine nimegundua sumu kubwa sana kwa watanzania bara kuwabagua wanzanzibar katika angle zao na linapokuja suala la maslah ya bara.
Wanzanzibar wanachukuliwa kuwa hawastahili kuwepo katika muungano huu.
Ilihali hata wao hawataki muungano na wanalazimishwa na pia walishawai pewa kesi za ugaidi na kuja kutumikia vifungo bara. Kama segerea na keko .Lakin Leo mzanzibar akipata nafasi kwa tanzania bara inakuwa nongwa kwa wenzetu upande wa pili. Lakin mzanzibar kutumikia kifungo segerea ni sawa.
Yote kwa yote mauaji ya Aina yoyote Yale hayafai tusichague vita ya kupigana.
Sikudhani kama ingefika siku watanzania tukafanyiana vitendo vya kinyama kiasi hiki.?
Unaua tu hata kama umetumwa lakin pia askari muwe mnatumia hata akili za kawaida basi
Kwahiyo mkipewa tu amri piga huyo unapiga kama zezeta
Nimeumia mno. Nafikiria kudhani kuwa mh.alifanyiwa figusu ili achafuke kimataifa ,huenda kulikuwa na mpango mkakati wa kampa stress kama hizi ili a give up na kukaa pembeni kwa lazima
Kwa mana watu walikuwa wanauliwa bila sababu yan kuna gari maalumu zilikuwa zinapita na kupiga watu Risasi tena wala hawapo katika maandamano ni kuwa tu fujo zimeanza watu wanafunga biashara zao basi wao wanakulenga kwa kusudi tu.
Kama huku kwetu kuna gari ya polisi ilikuwa kazi yao ni kuua tu hata kama unafanya shughuli zako.
Ndio maana nasema huu ulikuwa mpango wa watu fulani kumchonganisha mh. Namba 1 na wananchi na umefanikiwa kwa 101.%
Mana mpaka sasa lawama zote zinapelekwa kwake na wakati yeye alikuwa ni mgombea kama wagombea wengine
Mheshima alipakwa mavi mheshimiwa alipakwa matope ili anuke Kila mahali
Waasisi wachama walitukosea watanzania kwa kuweka sera zao na maslahi yao tangia miaka ya 60 huko ila Athari yake tunaipata Leo
Kingine nimegundua sumu kubwa sana kwa watanzania bara kuwabagua wanzanzibar katika angle zao na linapokuja suala la maslah ya bara.
Wanzanzibar wanachukuliwa kuwa hawastahili kuwepo katika muungano huu.
Ilihali hata wao hawataki muungano na wanalazimishwa na pia walishawai pewa kesi za ugaidi na kuja kutumikia vifungo bara. Kama segerea na keko .Lakin Leo mzanzibar akipata nafasi kwa tanzania bara inakuwa nongwa kwa wenzetu upande wa pili. Lakin mzanzibar kutumikia kifungo segerea ni sawa.
Yote kwa yote mauaji ya Aina yoyote Yale hayafai tusichague vita ya kupigana.