DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,319
- 83,198
Afate huu ushauri hakika hatojuta
Hii ngumu sana sidhani kama watalishughulikia wakati huu wakati watu wengi wamekamilisha kila kitu na bado wapo bali tete,labda ujaribu wakati wa rufaa.