Aliyempigisha ‘deki’ Mwalimu aigomea CWT

dunia ni mapito sote tutakufa na tutaiacha2
acheni tudharauliane maana Mungu aliyaumba na hayana budi kuwepo lakini sote mwisho wetu ni kaburini.
Kilio cha samaki hakina machozi,,,,,,, machozi Imebaki majini kilioo,,, ooooo....... Wema a a a tenda wema nenda zako usitizame nyuma,,,... Yatakuletea matatizoooo tenda wema uende zakoooooo,,,, kilio,, oooo,,, mwanamama *2,,,
 
Rubbish kama ni miye angefia mikononi mwangu aisee!! ni ngumi kali za uso mbele ya wanafunzi wangu!! Hawa watu wasijifanye miungu kwa kuchaguliwa na yule ambaye hata kura zetu hana uhalali nasi!!
 
mkung'uteni makonde tuje tuwatetee kwenye mahakama hakuna jinsi!!
 
bahati nzuri ningekuwa mwalimu ningefundsha Mathematics .....ningemgomea kwa kumwambia "mimi ni mwalimu wa Mathematics ..somo ambalo wanasiasa wengi kama wewe mmepata F ..mashule mengi hata ya Private yananisubiria "" siwez kudeki amua unavyotaka ...
 
Chama DHAIFU CWT... cjui hata hao wanakatwa hela hawaamki.. Sion faida yake..

Mkurugenz hana habar nao... Ila huyo mwalimu na yy ni mother f****nta
 
akili yako ni sawa na huyo mkurugenzi...kwa hyo mwl huyo ndio mwenye makosa walimu wengine walikuwa sahihi...kama shule ni chafu ilitakiwa awaite walimu wote na kutoa onyo kali wakiwa ofisini hususani kwa mkuu wa shule....sasa hao watoto wanaougua coz of poor hygiene si wangekuwa wanasafisha
 
Vitu vingine vinauma sana..mwalimu nae ikabidi atii tu masikini..
Ndio ajira anayoitegemea angefanyaje sasa?.Hicho alichofanya huyo DED akikubaliki je kama hayo maeneo yana shida ya maji?Kwanini asinge mwita pembeni nakujua shida ni nini?.Sasa ni wakati wenu walimu kujua thamani yenu,ipo siku mtendaji wa kijiji au katibu tarafa atawasimamisha.
 
Mmmmmmmmh!...kwa nini walimu wanadharaulika hivo?why?yaani kila kiongozi mwenye cheo anawaoshea waalimu.
Aisee!..mimi cwezi kubali hivo hataa ww uwe ni nani ktk nchi hii.
 
Rubbish kama ni miye angefia mikononi mwangu aisee!! ni ngumi kali za uso mbele ya wanafunzi wangu!! Hawa watu wasijifanye miungu kwa kuchaguliwa na yule ambaye hata kura zetu hana uhalali nasi!!
Naona umuhimu wa walimu kupitia mafunzo ya judo hapa.


Ngoja hiki kizazi kinachokuja kimefuzu zake JKT, walahi mi hapo tutagawana majengo[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Mmmmmmmmh!...kwa nini walimu wanadharaulika hivo?why?yaani kila kiongozi mwenye cheo anawaoshea waalimu.
Aisee!..mimi cwezi kubali hivo hataa ww uwe ni nani ktk nchi hii.
Ukienda zahanati nyingi wodi ni chafu sijasikia wahudumu wake wakifanyiwa hivyo
 
Sijakupata! Yaani darasa likiwa chafu mwalimu awekwe sero? Je kwako kukiwa kuchafu?tukuweke korokoroni?

Hiv ni mwanaume, me nilifikiri kadada,, looh, zingepigwa hakika, kwani lokapu mdudu gani bwana, hv watu huwa hawajui job description zao?
 
Utii wa sheria bila shuruti
 
Mbona kawaida sana, angewekwa lokapu sibora kudeki kuliko kulala ndani?, watanzania bana mambo mengine tunayakuza kweli, ni adhabu kama adhabu zingine jamani.
Bora kuwekwa ndani kuliko kudhalilika. Kudeki mbele ya wanafunzi. Mwanaume uogope kuwekwa lokapu wewe bwana vipi? Hili swala uvunjifu wa haki za binadamu eti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…