Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Tumia akili kufikiri. Limbu ndie mwanzilishi wa ACT, atatumikaje na Chama Kingine kukiharibu chama alichokitolea jasho kukianzisha?
Au unataka kusema CDM walimtuma aanzishe chama kingine ili ikitokea baadae coincidence Zitto akatimkia huko ndio akiharibu chama?
vilaza wako wengi wala usishangae
Last edited by a moderator: