poleni sana wananchi wa Kiseke kwa usumbufu mlioupata hadi kufanikiwa kumtowa roho kiumbe Msumbufu.
Ila muwe wavumilivu kwa mtakaoupata kutoka kwa police hii nchi ndivyo ilivyo
kaka ni kiseke a au bsource ni mimi mwenyewe nipo maeneo ya hapa kiseke mwanza.
Pia ocd wa Magu naye kathibitisha hilo.
ni Clement au Paschal?
!
!
alikuwa diwani wa chama gani kwani ili nichangie
Katika harakati za kujiokoa, alifyatua risasi na kuua mtoto mdogo.
eee bhana eee ! Duh !classic,kama ni kweli nawapa hongera. Wanasemaga utatufanya nini sisi ndio serikali, waiamuru serikali imrudishie uhai wake.
Mabina huyu ni miongoni mwa watu ambao wamejijengea umaarufu mkubwa sana katika mikoa ya kanda ya ziwa hususani ndani ya ziwa victoria
Huyu ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakituhumiwa na ujambazi wa kutumia silaha hasa katika miaka ya 90!
Ni miongoni mwa watu ambao wanadaiwa kuuwa wavuvi ndani ya ziwa victoria na kuwapora fedha na mali zao nyingine!
Ni miongoni mwa watu wanaodaiwa kufanya mauaji ndani ya ziwa yeye na wenzake kadhaa akiwemo dc na diwani mmoja!
Historia yake hapa mwanza haina tofauti na yule mmiliki wa mabasi au yule mmiliki wa COCACOLA.
Jamaa walikuwa majambazi haswa halafu wake za watu walikuwa hawaponi.
Ni kweli mkuu,huyo jamaa unaemsema pia wamefanya ujanja na kujipatia eneo moja la nyumba kutoka Nyanza,ni kama wamepora pale mwanza Opposite na JB BELMONTE?
na wewe ulishiriki?? Apumzike kwa amani