McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Yaani CCM ukiwa unapumua tu basi hiyo ni qualification tosha ya kuchukua fomu.
Mjasiriamali na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mboni Masimba amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuwania ubunge wa Viti Maalumu kupitia Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Tanga.
Yaani CCM ukiwa unapumua tu basi hiyo ni qualification tosha ya kuchukua fomu.
Mjasiriamali na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mboni Masimba amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuwania ubunge wa Viti Maalumu kupitia Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Tanga.
