PreGE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa NEMC Mhandisi Dkt. Gwamaka Mafwenga Achukua fomu kutia nia ubunge jimbo la Rungwe

PreGE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa NEMC Mhandisi Dkt. Gwamaka Mafwenga Achukua fomu kutia nia ubunge jimbo la Rungwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na Kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhandisi Dkt. Gwamaka Samwel Mafwenga leo, Jumamosi Juni 28.2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kuwania nafasi ya Ubunge wa jimbo la Rungwe, mkoani Mbeya

Ikumbukwe kuwa, katika kile kinachofahamika kuwa ni mchakamchaka wa kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu (2025), Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kimefungua rasmi dirisha la uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa makada wake wanaotia nia kwenye nafasi za Udiwani, Ubunge na Uwakilishi ambapo katika siku hii ya mwanzo kabisa imeshuhudiwa makada mbalimbali wakijitokeza kuchukua fomu kwenye maeneo tofauti.
1751128726007.png
 
Watu wanatafuta kuboresha CV zao...
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na Kada wa muda mrefu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhandisi Dkt. Gwamaka Samwel Mafwenga leo, Jumamosi Juni 28.2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kuwania nafasi ya Ubunge wa jimbo la Rungwe, mkoani Mbeya
SaveClip.App_504620508_18109367938513179_4277903643425359408_n.jpg

Ikumbukwe kuwa, katika kile kinachofahamika kuwa ni mchakamchaka wa kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu (2025), Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kimefungua rasmi dirisha la uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa makada wake wanaotia nia kwenye nafasi za Udiwani, Ubunge na Uwakilishi ambapo katika siku hii ya mwanzo kabisa imeshuhudiwa makada mbalimbali wakijitokeza kuchukua fomu kwenye maeneo tofauti.
SaveClip.App_513873484_18109367956513179_8671354810979552980_n.jpg
 
Back
Top Bottom