Tetesi: Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
Nani atamzuia yeye kutumia pesa za umma kujenga kwao? Tz bado sana.
 
Huyu jamaa niliwahi kuambiwa ana mshahara wa zaidi ya 15M.
 
Kiki tu hizo, kiki ikiisha wanamwachia, utasikia hakuna haja ya kuendelea na kesi , tumeona kwa akina Manji na wengine wengi tu
 
Siwezi kumuunga mkono rais wa visasi, anayekumbatia mabashite, anayevunja nyumba za wanyonge, anyesigina demokrasia, ameweka kapuni katiba mpya, anayefurahia watu wake kula msoto, asiyetaka wengine waombewe, asiyehudhuria misiba, anayekula rambirambi, anayesema wazi hakuna kuchagua wapinzani kama vile siasa imekuwa uadui, anayezalisha wake za watu, anayehubiri amani wakati kaficha panga mgongoni. Anayetafuta kiki kwa vitu ambavyo ni vya kawaida, nini Msechu, tuliona akina Mramba wakiingia jela. Anayetufanya kwa kutudanganya dollar bilioni moja zimekamatwa, kama vile dollar hizo ni hela ya kukaa kwenye handbag, asiyetimiza ahadi zake, wapi millioni 50 kwa kila kijiji. NIKISEMA NTAMWOMBEA NTAKUWA MNAFIKI KAMA YEYE, AKINILAZIMISHA KUMWOMBEA NTAOMBA KINYUME
Wewe ni kati ya wale ama waliokuwa wamezoea madili na sasa umebanwa au ndg yake na mmoja wa mafisadi wanaonyea ndoo gerezani siyo bure!!
 
Hizo ni siasa nyembamba sana kuhusisha ubomoaji wa bilcanas na kazi kubwa anayofanya mh

Ingekuwa ni siasa nyepesi asingemtuma huyo Mchechu kuvunja bills. Masamaki alikamatwa na mikwara kibao eti fisadi. Leo yuko uraiani anakula upepo mwanana wa bahari. Acheni kick za kishamba.
 
Sasa unazuia ufisadi wa Mchechu, hizo ulizomzuia Mchechu unaenda kununulia wawakilishi wa upinzani. Halafu unatumia hizi hela kurudia uchaguzi!! Kama sio wenda wazimu ni nini?
Mwendawazimu ni yule anayekubali kununuliwa kama ng'ombe! Ama? Tena ni vizuri acha wanunuliwe wote ili siku nyingine wapinzani wajue hasara ya kuokoteza makapi mpaka malaya walioshindikana na kuwapa VIP treatment tena na viongozi top! Unaokoteza mpaka Wema? Kama sio kuishiwa ni nini!
 
Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
Aende Tanroad !!
Itapendeza sana!
 
Hakuna Fisadi yeyote atakuwa salama kwenye utawala wa Rais Magufuli. Haiwezekani mamilioni ya watanzania wakose huduma za kijamii wakati viongozi wachache wakinufaika kwa fedha za watanzania.
Tanzania tulichelewa sana kumpata kiongozi kama Rais Magufuli.
 
Mwendawazimu ni yule anayekubali kununuliwa kama ng'ombe! Ama? Tena ni vizuri acha wanunuliwe wote ili siku nyingine wapinzani wajue hasara ya kuokoteza makapi mpaka malaya walioshindikana na kuwapa VIP treatment tena na viongozi top! Unaokoteza mpaka Wema? Kama sio kuishiwa ni nini!

Sasa kinachowafanya mtembee na kanga moja huku mmeweka vidole juu kwamba mnapambana na rushwa ni nini?
 
Serikalini hakuko salama, maana unaenda kazini basi tu, unaweza kwenda ofisini ukakuta kiti chako kimechukuliwa. Ili uwe na amani kazini lazima ujipendekeze kwa Mkuru nyembe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom