The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,452
- 17,155
Rais Samia amemteua Nehemia Kyando Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba ya Taifa (NHC) akichukua nafasi ya Dkt. Maulid Banyani atakayepangiwa kazi nyingine
Aliyekuwa Waziri wa Makazi, William Lukuvi alitengua uteuzi wa Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo mnamo Juni 2018
Awali mnamo Desemba 2017, kabla ya uteuzi wake kutenguliwa alisimamishwa kazi kwa kile kilichoelezwa ni ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizokuwa zinamkabili
Aliyekuwa Waziri wa Makazi, William Lukuvi alitengua uteuzi wa Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo mnamo Juni 2018
Awali mnamo Desemba 2017, kabla ya uteuzi wake kutenguliwa alisimamishwa kazi kwa kile kilichoelezwa ni ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizokuwa zinamkabili