Aliye kuwa Mgombe mwenye nguvu katika ngazi ya Udiwani uchaguzi wa 2010( CCM) katika Kata ya Nyamatare Wilayani Serengeti ameamua kuvua Gamba na kuvaa Gwanda na kuiacha ccm ikiwa kama yatima.
Kwa mujibu wa mgombea huyo sababu kubwa iliyo mfanya kuachana na ccm ni chama kukiuka maadili na miiko yake iliyowekwa na mwalimu.
Hatahivyo kada huyo ameingia na idadi kubwa ya wafuasi wake na kambi nzima na kuwaambia wana ccm kata ya Nyamatare wajiandae kuongozwa na CHADEMA.
Kemgesi,Nyamatare
Kwa mujibu wa mgombea huyo sababu kubwa iliyo mfanya kuachana na ccm ni chama kukiuka maadili na miiko yake iliyowekwa na mwalimu.
Hatahivyo kada huyo ameingia na idadi kubwa ya wafuasi wake na kambi nzima na kuwaambia wana ccm kata ya Nyamatare wajiandae kuongozwa na CHADEMA.
Kemgesi,Nyamatare